fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
unachezea mikia wa nyoka wakati uko msitini, akili zetu ni kubwa kuliko ukubwa wa makalio ya CCM ndo maana haiwezi kutukalia kifikira na maono ya namna ya kujikomboa kiuchumi.
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
Ukiona ccm inakukera,jitangazie uhuru,anzisha nchi yako!
Hapa tutatawala mpaka damu yako itavyofutika ulimwenguni
kama imeshindikana kwa mawaziri anaowajua yeye hao wako atawachukulia hatua gani? hii sio serikali ya kuchukua hatua labda tutakapofanikiwa kuwa na serikali makini 2015 chini ya chademaNaandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
bila shaka hii ndiyo post ya kijinga kabisa kwa wiki hii , imeingia kwenye TOP TEN ya mwaka huu !
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
Ni vema pia kuwe na wizara chake tu, watalaam tusaidieni orodha ya wizara mwafaka
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
mbona masaliti kwenye chama chenu mmeyashindwa mnahamia huku?? siku 14 bado?? liondoe kwanza boriti la jicho lako ndipo uliondoe la mwenzako......fukuzeni masaliti harakaNaandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.
Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:
1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba
Nawasilisha
Wizara hizi hazina haja ya kuwepo
1. wizara ya kazi
2. wizara ya nchi mahusiano bora
3. wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki
4wizara ya ujenzi na uchukuzi ziunganishwe kuwa wizara moja
5. wizara ya maendeleo ya jamii wanawake na watoto ife shughuli zake ziwe ndani ya wizara ya afya na ustawi wa jamii
6.
7.
8
Tuna takiwa kuwa na wizara zisizozidi 15 tu!