Zitto ataja mawaziri mizigo

Zitto ataja mawaziri mizigo

unachezea mikia wa nyoka wakati uko msitini, akili zetu ni kubwa kuliko ukubwa wa makalio ya CCM ndo maana haiwezi kutukalia kifikira na maono ya namna ya kujikomboa kiuchumi.
 
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha

mkuu bora ungesema tu baraza nzimaaa!!!!
 
wote uliowataja umepatia , lakini pale namba 6 UMEPATIA ZAIDI ! Yule mama TIBAIJUKA amefeli kuliko tulivyotarajia , kiukweli amenifanya nitafakari tena kuhusu kuwaamini wanawake .
 
Mbali na mizigo, idadi ya mawaziri ni kubwa ni mzigo wa gharama kwa taifa, kuwatunza bila faida yoyote!! Liwekwe baraza dogo la mawaziri, liwe competent, efective!!
Ondoa lundo la watu wasio na tija!!
 
Ni vema pia kuwe na wizara chake tu, watalaam tusaidieni orodha ya wizara mwafaka
 
Ukiona ccm inakukera,jitangazie uhuru,anzisha nchi yako!
Hapa tutatawala mpaka damu yako itavyofutika ulimwenguni

Hivi wewe kweli ziko timamu???????????????,Au ulikuwa unaandika post ya kufungia mwaka??????
 
ndo maana anatakiwa avunje baraza aliunde upya ni mizgo mingi sana imo kwenye baraza
 
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha
kama imeshindikana kwa mawaziri anaowajua yeye hao wako atawachukulia hatua gani? hii sio serikali ya kuchukua hatua labda tutakapofanikiwa kuwa na serikali makini 2015 chini ya chadema
 
Kamati kuu CCM yawahoji Mawaziri

Celina Komban, Kawambwa, Ghasia, Matayo David wahojiwa
 
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha

Uko sawa kabisa. Namba 4 ni mwizi wa elimu za watu, namba 5 ni mchochezi na dhaifu sana, namba 9 ni mama wa mipasho hana lolote kichwani na namba 13 huyo mawazo yake ni kwenye chai na jisi za ikulu tu hana lolote la mahusiano mema labda kwa wanyama huko porini
 
Ni vema pia kuwe na wizara chake tu, watalaam tusaidieni orodha ya wizara mwafaka

Wizara hizi hazina haja ya kuwepo
1. wizara ya kazi
2. wizara ya nchi mahusiano bora
3. wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki
4wizara ya ujenzi na uchukuzi ziunganishwe kuwa wizara moja
5. wizara ya maendeleo ya jamii wanawake na watoto ife shughuli zake ziwe ndani ya wizara ya afya na ustawi wa jamii
6.
7.
8

Tuna takiwa kuwa na wizara zisizozidi 15 tu!
 
Bahati nzuri kinana umemkuta mzigo pinda si mropokaji manake nae angeamua kukuchana na ishu zako za meno ya tembo sijui kama pangetosha.Nape nae ni mzigo wa chama pia.
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha
 
Sayansi imepanda wizara na mikoa ziungane, Elimu na Ufundi iungane na Sayansi na tecknolojia, Mikoa ya Geita na Mwanza, Dar na Pwani, Lindi a Mtwara, Kigoma na Kagera etc
 
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha
mbona masaliti kwenye chama chenu mmeyashindwa mnahamia huku?? siku 14 bado?? liondoe kwanza boriti la jicho lako ndipo uliondoe la mwenzako......fukuzeni masaliti haraka
 
Msaliiiitiiiii na timu yake wako booked tayari, au unashangaa hatua za CDM??? umesikia bungeni kuwa kavuliwa unaibu KUB????
 
Naandika kumuunga mkono kinana na nape kuhusu ukweli kuwa kuna mawaziri mizigo tena ya misumari ya nchi 12, orodha hiyo ni vema ikawa wazi ikajadili ili kuhakikisha iwapo rais anafanya maamuzi ya kutuondolea mizigo hii ktk nchi kwa maaana ya uwaziri wao, naamini ukweli pia nyumbani kwao na kwa jamaa na marafiki zao wao sio mizigo kama ambavyo kinana na nape kwaniaba ya waTZ wengi wemeona.

Mawaziri mizigo kama livyotaja kinana, pamoja na wengine ambao tumekwisha wajadili hapa JF hata kabla ya CCM kusikia kilio cha wananchi ni kama:

1. Kawamba
2. Maghembe
3. Mulugo
4. Hawa Ghasia
5. Pinda
6. Tibaijuka (kama hakuna viwanja vilivyopimwa kwa bei ya kumudu mwalimu na wafanyakaz wa serikali, hakuna sera ya ardhi, hakuna makaz bora TZ hence failure in performance, tusibabaishe kazi)
7. Majaliwa
8. Mwanri
9. Simba Sofia waziri wa jinsi, unyanyasaji wa kijinsia unakua kila siku hakuna mpango, picha za uchi, mitandaoni na mavazi ya aibu, hatuwezi fumbia macho tukasema nchi iko safi, sera miongozo nan atoe??
10. Amos Makala na Mkangara
11. Malima
12. Chiza
13. Wassira, suala la katiba na mahusiona ya vyama vya siasa na dini
14. Chikawe, suala la katiba

Nawasilisha

Halafu, balaza mpya Min-kabaang apewe wizara ya jinsia na watoto,wanawake
 
"Wakati mwingine hile neno mzigo mnalitumia vibaya", Mzengo Kayanza Pinda..
 
Wizara hizi hazina haja ya kuwepo
1. wizara ya kazi
2. wizara ya nchi mahusiano bora
3. wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki
4wizara ya ujenzi na uchukuzi ziunganishwe kuwa wizara moja
5. wizara ya maendeleo ya jamii wanawake na watoto ife shughuli zake ziwe ndani ya wizara ya afya na ustawi wa jamii
6.
7.
8

Tuna takiwa kuwa na wizara zisizozidi 15 tu!

wizara ya elimu na sayansi ya juu ziwe pamojo
wizara ya kazi , utumishi na habari na michezo ziwe pamoja
 
Back
Top Bottom