Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,529
Mbali na mizigo, idadi ya mawaziri ni kubwa ni mzigo wa gharama kwa taifa, kuwatunza bila faida yoyote!! Liwekwe baraza dogo la mawaziri, liwe competent, efective!!
Ondoa lundo la watu wasio na tija!!
Unataka hao wengine wakale wapi watakaopunguzwa? Anachotuumiza nacho kikwete ni uswaiba katka kugawa majukumu na siyo uwezo. Kwa kweli ananiudhi sana huyu rais wa ccm maana ndiyo chanzo cha upumbafu wote huu.