Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Sasa kashinda nini wakati alitaka mahakama izuie asijadiliwe?
Ndo tafsiri ya CCM
Sasa kashinda nini wakati alitaka mahakama izuie asijadiliwe?
Hii ni habari njema kwa wapenda haki, sheria, kanuni na taratibu- inaweka precedence nzuri kwa demokrasia nchini kwamba huwezi kuwa kwa kuwa wewe ni mwenyekiti wa chama basi upindishe kanuni na taratibu za chama kwa ajili ya manufaa binafsi
Kashinda au? Kwa hiyo kama kashinda ina maana bado atakua kiongozi wa CDM? ama ushindi wake unamaana gani haswa?
Alhamdulilah.
jaa alhaq wazakal batwil. innalbatwil kana zahuka!!!!!!
Haki imekuja na batil imeondoka... Na siku zote batili ndio yenye kupotea/kuondoka
Sasa kashinda nini wakati alitaka mahakama izuie asijadiliwe?
Ameshinda wapi? Pingamizi limekubaliwa la kutojadiliwa na chama hadi rufaa yake kwa Baraza Kuu isikilizwe. Hana cheo chochote so far!!! Ni uanachama tu ambao nao ulisemekana ni kwa njia ya mahakama!!! Kichama si mwanachama na hatakiwi kabisa.
Chadema maji,,,,,,nyie mavi