MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
pole kwa kuuguliwa mh. Zitto, tunamwombea mwanaharakati mama yako apone haraka. Lakini mbona hata kwenye maandamano ya arusha haukuwepo? Na huko nani alikua anaumwa?
Jamani mbona Zitto kaandamwa hivyo???he made a mistake fine,but how long are we to judge him for that?mbona tunasahau mchango wake katika chama na kuangalia mabaya tu???Zitto is human,we all make mistakes and we all deserve a second chance lakini how is Zitto going to feel forgiven kama tutaendelea kumsonga hivi????Tukumbuke mazingira humjenga mtu na jinsi tunavyomuweka Zitto katika mazingira ya kumtilia mashaka kwa kila afanyacho basi na sisi tutajilaumu siku moja kwa mchango wetu katika kumvuruga Zitto.tusilaumu jibu alilotoa hapa,mimi nadhani yupo disappointed kutokana na watu kumuonesha wazi kutokuwa na imani nae.Let's give the guy a chance jamani.muacheni amuuguze mama yake,that alone is enough to worry about tusimuongezee na yetu atleast for now.
Mkuu Crystal, while its our duty to give the mhe a second chance, actually we have already given it a long time ago, its in the same line the responsibility of the Boy to take chance of the chance. and, he should not just take it but take it firmly, definitely, certainly and surely tena beyond any reasonable doubt. he should not only take it but should be seen to take it. akiweza kufanya hivo ataondoa hii kitu waungwana wanachomwambia kuwa bado wanampenda but his past deeds remain taintful to his otherwise had been respectfully big name....ZITTTO KABWE. As of now and unless he confesses bitterly and directly, the name is not as big anymore!!!
Nawashukuru mliomjibu huyu bwana/bibi. Kuhusu dowans nilisema mwaka 2009! Sina jipya la kusema. Pia miye si msemaji wa chama kuhusu nishati, jukumu hili ni la bwana John Mnyika.
Kama kutokusema ni sawa na kuwa na hisa basi kuna mewngi kweli hatusemi na hivyo tuna hisa nyingi kweli. Pia kuna wengi hawajasema kuhusu dowans na hivyo dowans ina hisa kwa Watanzania wengi sana!
Nawashukuru mliomjibu huyu bwana/bibi. Kuhusu dowans nilisema mwaka 2009! Sina jipya la kusema. Pia miye si msemaji wa chama kuhusu nishati, jukumu hili ni la bwana John Mnyika.
Kama kutokusema ni sawa na kuwa na hisa basi kuna mewngi kweli hatusemi na hivyo tuna hisa nyingi kweli. Pia kuna wengi hawajasema kuhusu dowans na hivyo dowans ina hisa kwa Watanzania wengi sana!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mbunge wa cdm amekuwa kimya kuhusu dowans
mana ukilijea kauli yake kuhusu dowans ina chembe chembe ya kuwa na share dowans
Je ni kweli Zitto kamegewa share dowans?
Nawashukuru mliomjibu huyu bwana/bibi. Kuhusu dowans nilisema mwaka 2009! Sina jipya la kusema. Pia miye si msemaji wa chama kuhusu nishati, jukumu hili ni la bwana John Mnyika.
Kama kutokusema ni sawa na kuwa na hisa basi kuna mewngi kweli hatusemi na hivyo tuna hisa nyingi kweli. Pia kuna wengi hawajasema kuhusu dowans na hivyo dowans ina hisa kwa Watanzania wengi sana!
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mbunge wa cdm amekuwa kimya kuhusu dowans
mana ukilijea kauli yake kuhusu dowans ina chembe chembe ya kuwa na share dowans
Je ni kweli Zitto kamegewa share dowans?
Umetumwa na post yako hiyo......................
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mbunge wa cdm amekuwa kimya kuhusu dowans
mana ukilijea kauli yake kuhusu dowans ina chembe chembe ya kuwa na share dowans
Je ni kweli Zitto kamegewa share dowans?