Tumuamini nani sasa.Zitto siyo mtu wa kumuani hata kidogo
Kinacho mtesa Mheshimiwa Zitto wakati fulani ni siasa zake za unafiki na pia kuendekeza itikadi za udini.
yinyi ndio udini unawasumbua, acheni kuangalia mambo kwa angle hiyo, mnachojidai kukemea ndiomkinacho nwasumbua.Zitto could make a good politician mpaka aache udini.
Hiyo Chadema ni dini gani? Ukitaja Ulutheri basi uje na majibu kabisa ya haww watu iwapo nao walikuwa/ ni Walutheri pale Chadema (Halima Mdee, Profesa Safari, Mabere Marando, aliyekua Katibu Mkuu Dr. W. Slaa, nk.)CCM haina dini bwashee!
Ukatae, ukubali! Ila mwisho wa siki ukweli wa jambo hili anaujua Zitto mwenyewe.yinyi ndio udini unawasumbua, acheni kuangalia mambo kwa angle hiyo, mnachojidai kukemea ndiomkinacho nwasumbua.
Ungekuwa huo ndio uhuru Gadafi asingeuawa mtaroni,Saudi Arabia pasingekuwa na wapinga serikali na nchi nyingine nyingi.Uhuru wa kweli ni uhuru aliotuletea Magufuli.
Wananchi wamepelekewa zahanati almost kila kijiji. So wapo huru kupata huduma ya afya.
Wananchi wamepelekewa umeme kwa sasa wapo huru kutumia umeme kufanya uzalishaji na matumizi ya nyumbani.
Wananchi wanapita kwenye barabara nzuri, wapo huru kusafiri bila kikwazo cha barabara mbovu.
Maji kila kona ya miji.
Amejenga bwawa la umeme litaloingiza umeme mwinngi kwenye gridi ya taifa hivyo wananchi watakuwa huru zaidi kutumia umeme kuzalisha mali.
Ujambazi ulikomeshwa kuanzia kwenye mitaa, mabenki mpaka kwenye biashara.
Vijana watafutaji kama machinga, mamalishe, bodaboda nk walipewa uhuru wa kufanya biashara za kujitafutia popote ilimradi awavunji sheria.
Uhuru wa kweli ni kumpa maisha bora mwananchi wa kawaida.
Huu uhuru wa Zitto na wenzake ni wa kufanya siasa za chuki huku wao wakijaza matumbo yao.
Walutheri siyo dini ni dhehebu bwashee!Hiyo Chadema ni dini gani? Ukitaja Ulutheri basi uje na majibu kabisa ya haww watu iwapo nao walikuwa/ ni Walutheri pale Chadema (Halima Mdee, Profesa Safari, Mabere Marando, aliyekua Katibu Mkuu Dr. W. Slaa, nk.)
Kweli japokuwa na wewe ni mnafiki.Kinacho mtesa Mheshimiwa Zitto wakati fulani ni siasa zake za unafiki na pia kuendekeza itikadi za udini.
Zitto Tumbo lake likiwaa na uhakika WA kujaa anaweza kufanya lolote. Yeye Kwanza.Zitto siyo mtu wa kumuani hata kidogo
Kila jambo ni hatua. huwezi kupata vyote kwa wakati mmoja.“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.
NB:
Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi, uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.
Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
Unafiki wa nini!Kweli japokuwa na wewe ni mnafiki.
Makaburu ya SA yalijenga hospitali kila sehemu, barabara, maji elimu bure lkn bado wananchi walidai uhuru.Uhuru wa kweli ni uhuru aliotuletea Magufuli.
Wananchi wamepelekewa zahanati almost kila kijiji. So wapo huru kupata huduma ya afya.
Wananchi wamepelekewa umeme kwa sasa wapo huru kutumia umeme kufanya uzalishaji na matumizi ya nyumbani.
Wananchi wanapita kwenye barabara nzuri, wapo huru kusafiri bila kikwazo cha barabara mbovu.
Maji kila kona ya miji.
Amejenga bwawa la umeme litaloingiza umeme mwinngi kwenye gridi ya taifa hivyo wananchi watakuwa huru zaidi kutumia umeme kuzalisha mali.
Ujambazi ulikomeshwa kuanzia kwenye mitaa, mabenki mpaka kwenye biashara.
Vijana watafutaji kama machinga, mamalishe, bodaboda nk walipewa uhuru wa kufanya biashara za kujitafutia popote ilimradi awavunji sheria.
Uhuru wa kweli ni kumpa maisha bora mwananchi wa kawaida.
Huu uhuru wa Zitto na wenzake ni wa kufanya siasa za chuki huku wao wakijaza matumbo yao.
Nashukuru nimekuwahi. Maana ulikuwa unakimbilia huko Bwashee.Walutheri siyo dini ni dhehebu bwashee!
Naona unataka kuwaibua vifutu.
Anavipolo vya ujenzi nchi jirani huko, mwenzio ana moja mkichwaKinacho mtesa Mheshimiwa Zitto wakati fulani ni siasa zake za unafiki na pia kuendekeza itikadi za udini.
Ohooo, mwingini mdini huyu hapa!yinyi ndio udini unawasumbua, acheni kuangalia mambo kwa angle hiyo, mnachojidai kukemea ndiomkinacho nwasumbua.
Hahahaaaa..... Kwani Msigwa, Sugu, Lisu, Makene ni walutheri bwashee?Nashukuru nimekuwahi. Maana ulikuwa unakimbilia huko Bwashee.
CHADEMA na Zitto, CCM na Tundu Lissu.“Nimekua nyakati ambazo siasa ni ushawishi wa hoja. Nimejifunza siasa na kushiriki siasa wakati huo. Miaka 6 iliyopita ilikuwa migumu sana kwangu kwani siasa ilikuwa nguvu, vurugu, uporaji, mauaji nk. Ninafuraha sasa naona siasa za ushawishi zinarudi. Kwangu Mimi Uhuru huo UNATOSHA.” Zitto Kabwe.
NB:
Uhuru haupimwi kwa uchaguzi wa majimbo mawili, kwangu uhuru utapatikana siku tunapata, Tume huru ya uchaguzi, uhuru wa vyombo vya habari, serikali inayoheshimu haki za binadamu, freedom of expression, Katiba Mpya.
Zitto ajue uhuru sio hisani anayopata kwa kiongozi aliye madarakani, akumbuke pia uhuru anaosema unatosha ulipiganiwa na wengine ambao bado hawajaupata.
Mhh mbona sio mdini Zitto mkiambiwa tajeni wadini na wakabila na wakanda Zitto mtamuweka hatujaanza kumsikia jana Zitto kabweZitto could make a good politician mpaka aache udini.