Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 763
Usimhukumu Zitto kwa Chuki zako binafsi....kama amejua alilolifanya(kama unavyodai) na anataka kusahihisha basi hilo ni jambo jema...yaani wewe jamaa unataka vurugu ziendelee tu ndani ya Cdm..unapata faida gani?
...Unajua sikuzote ukiona mtuhumu anapanic hivyo na kutamani kumzuia aliyemtuhumu kupata nafasi ya kuongea ujue hana uhakika na ushahidi wa tuhuma zake,na hivyo ana hofu ya tuhuma zake ku backfire....
...Ni kawaida kwa watu kumtumia mtu kama Zitto kama mradi wa pesa au ngazi zao za kupatia umaarufu kijamii na kisiasa,lakini ni vyema wazingatie pia kuwa kutafuta umaarufu kwa njia ya kupika majungu uwa hakuna mwisho mzuri na in the long run mwisho wake ni aibu....