kituma12
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 301
- 122
wewe unamwambia mwenzio kuwa awe na subira kidogo mbonawewe huna hiyo subira? kila kukicha kujitakasa kwenye vyombo vya habari kama ni msafi just wait time will tell us, km ulivyo sema ukweli hautengenezwi, ukweli hutafutwa sass subiri na uwe na subira