Zitto anasema 'Fuata Misingi sio watu'...

Zitto anasema 'Fuata Misingi sio watu'...

Wakuu, Ben saa nane na mh. Zitto. Chonde chonde kama kunauwezekano wa kuketi pamoja na kutatua tofauti hizi basi lifanyike mapema. Chama (CDM) kwa sasa pamoja natumai mnaelewa ni jinsi gani kime kaa kwenye truck, na kipo speed ipi katika kutimiza malengo na ndoto za watanzania walio wengi.
Mkumbuke msemo usemao "mafahari wawili wapiganapo ziumiazo ni nyasi"
Bare in mind zat, mlumbano ya hoja myaoneshayo kwenye hii mitandao ya kijamii yanabaki kama kumbukumbu, na vile vile nikukumbusheni, muwe na jicho la tatu katika kutizama impact or effects zeke in near future if not for nex negeneration.
LETS BUILD UP ZE PARTY IN GOOD SOUL OF UNIT FOR COMING FREEDOM.
God bless Tanzanian, God bless Africa.
Ben saa8 analipwa kwa kazi hii,Unategemea atakula nini akiacha???
Kwa hiyo acha mjasilia mali huyu atafute cha kwenda tumboni,lakini mungu atamuumbua tu siku si nyingi.
 
nilikuwa nikimuita girlfriend wangu wa zamani LULU - kumbe hata wanaume mnaitana LULU, ndio maana nimesema hapo mwanzo kuwa mtaolewa wengi na ningependa kujua kabwela amekulipia kiasi gani kama mahali???

ficha upumbavu wako,heshima mbele.
 
Ben saa8 analipwa kwa kazi hii,Unategemea atakula nini akiacha???
Kwa hiyo acha mjasilia mali huyu atafute cha kwenda tumboni,lakini mungu atamuumbua tu siku si nyingi.

kama wewe unavyolipwa na kabwela ambaye pia amekutolea mahali... inawezekana saa8 analipwa lakini bado hajatuonyesha a pathognomonic symptom of a married stuff... hi5 to your husband kabwela!!!
 
Na wewe acha utoto,ugomvi wa nini kama unamfahamu si umpigie,unachafua chama.

Sidhani kama anachafua chama. Na huoni kama angepigia halafu na hiyo mission ktk tarehe tajwa hapo ikitokea inavyoweza kuwa na effect kubwa maana hatujawa alerted.

Mi nadhani hata kama hawa watu wawili Ben na Zitto ni key players on opposite ends, they are both suspects. Their motives can reveal more things when let to evaporate than when are allowed to remain closed.

Lakini pia CDM km chama lazima wawe vigilant, maana huenda traitor waka concede leo lakini wakabadilika huko baadaye dakika za majeruhi siku chache kabla ya uchaguzi.
 
Tunasubili mwisho wa siku mmoja aje hapa kuomba Radhi hapa kwa kumdhalilisha mwenzie.
 
Ujumbe wa Ndugu Zitto ni murua.Huu ni ujumbe kwa wanachama wote wa vyama vya kisiasa.
Kwamba ikiwa chama ''X'' kinaamini katika rushwa ama matumizi ya lugha za matusi kwa mfano,basi wanachama wake wote wanapaswa kuenenda sawasawa na misingi iliyobainishwa.Na kama chama ''Y'' kinaamini katika lugha za staha, uwajibikaji na uadilifu, basi, wanachama wa chama husika wanapaswa kuziishi tunu hizo.
Majibizano yasiyo na tija yanayoendeshwa na Ndugu TUNTEMEKE katika uzi huu yanasikitisha sana.Vinginevyo apangue hoja ya Zitto kwa kuonyesha kwa nini ni muhimu kufuata watu badala ya misingi ya kitaasisi.
 
Unajiandikia makala kwa kuwa unajua ulichokifanya.Makala hii haijaandikwa kwa bahati mbaya.Mipango yako ya kufanya tukio tarehe 4-6 January kabla ya CC ili kuhamisha hisia na mind za watu naijua yote.Take it from me
kama ni kutumika, basi BEN umeamua kutumika vibaya sana na hii itakugarimu maisha yako yote. labda ujijue kuwa unaishi kwa ARVs na kwamba siku yoyote unakufa.
 
Furaha ni kuona unaicheza ngoma usiyoijua,lakini ni kawaida sana kushabikia uongo kuliko ukweli.Soon ukwlei utapatikana


Mzee wewe ndo msemaji na mtetezi wa Zitto au? Manke naona unabwabwaja tu hapa, utaishiwa pumzi bure!??
 
kama ni kutumika, basi BEN umeamua kutumika vibaya sana na hii itakugarimu maisha yako yote. labda ujijue kuwa unaishi kwa ARVs na kwamba siku yoyote unakufa.

wewe acha kutoa povu humu kujipendekeza kwani hizo ni tabia za kike, Ben anajitambua na sio rahisi kutumika, waulize wakina Kafulila na Zitto (My last hero) kuwa ile bajeti ya CHAUUMA na PM7 ni nani waliokuwa wanamtegemea kuidraft kama sio Ben ?
Chunguza elimu za masalia uone na degree zao za ualimu za kuunga unga lakin pitia CV ya Ben ndio utajua what i mean.
 
Ben saa8 analipwa kwa kazi hii,Unategemea atakula nini akiacha???
Kwa hiyo acha mjasilia mali huyu atafute cha kwenda tumboni,lakini mungu atamuumbua tu siku si nyingi.

kwani na wewe unalipwa na nani kwa kazi yako ya kutoa povu kutetea wanaume wenzako siku nzima na kutukana viongozi wa CHADEMA waaminifu hasa Dkt Slaa ma Mbowe?
 
Bomu litakalo fumuka,huyo ben na wewe nadhani mtakosa pa kujishikilia.Ni swala la muda tu.CHADEMA CHAMA CHA KIDEMOKRASIA

Si ndomana mnatarajia kuitisha press conference january before kikao cha CC na kuomba huruma kwa jamii kwamba Rais wenu anatakuuliwa ili mdraw out mind za watu juu ya tuhuma za usaliti mlizonazo.
 
Ni swala la muda tu,Fitina majungu na upuuzi wote wa babbu na crew yake wataumbuka.

waswahili wa nyumbani unyamwezini Tabora huwa wanasema "Mwisho wa ubaya ni aibu, sasa wanafiki wote mpe utupu mchana kweupe tena kwenye solid population kama ya kariakoo, jianzeni tu kujikusanya wenyewe maana hata Rais wenu siku kaanza kwenda kusafisha nyota yake kupitia Diamond na Omy dimpoz kule Dar live..ha ha ha ha

patamu hapo.....!
 
Alichokifanya ndio kazi aliyoitaka na akapewa. Zitto hawezi kuomba msamaha huyu maana CCM itamshangaa na kumtapika. Hata suala la kutaja wenye fedha Switzerland ni moja ya mikakati yake ya kisiasa ya kutupa mashambulizi ya kupumbaza watu mapema kujihami au kutimiza lengo lake au la waliomtuma (political phony pre-emptive strikes). Kwa vile baadhi ya watu ni wavivu kusumbua vichwa vyao kutafakari kwa undani hayo mashambulizi anayoyafanya kama vile hoja binafsi basi tukafikiri kuwa Zitto ni Mtatezi wa wanyonge.

Hakuna hoja yoyote ya Zitto iliwahi kuzaa matunda mwishoni (kwa ajili ya wanyonge), kwani makusudi yake huwa si kuzaa matunda bali kunyanyua umaarufu wake na kuwalinda wale ambao wamemtuma. Mtakumbuka habari ya wenye fedha (jambo ambalo halikuwa jipya nchini Tanzania kusikika hata kusomeka) but was another phony pre-emptive strike ambapo aliishia kusema hakukuwa na haja ya kuwataja wahusika maana hana imani na Serikali kama itafanya chochote, mara akajisahahu tena akasema atashirikiana na Mwanasheria Mkuu kusaidia kutoa taarifa kwa kumtumia Confidant wake wa huko Switzerland na tena akasema atakwenda mwenyewe huko kuibua wahusika. Kwa kufanya hivi akateka mjadala wa wezi wetu na hivyo hakuna anayeshughulika na hilo, watu wanakaa wanaota eti tunamsubiria Zitto (mtu ambaye hana chombo chochote cha dola wala hata saini inayotambulika ndani wala nje ya nchi yetu kama kiongozi wa Serikali) eti ndiye apewe na mabenki ya Switzerlands majina ya Watanzania wateja wao wenye fedha huko, kiasi cha fedha na zaidi ya yote eti aweze kutueleza pasi na shaka njia walizozitumia kuzipata hizo fedha eti kazi ambayo yeye anaiweza lakini Serikali yetu haiwezi! Kusudi lake lilisha timia maana alipata umaarufu toka kwa wanaCCM na Wapinzani wengi at the same time in the house on that material day lakini siku zote tupo wachache tusiokubali kudanganywa!

Hata Leka dutigite haikuwa kwa ajili ya kuwanyanyua akina Kiba, Mwasiti, Banana, Chege, Diamond, Ommy wala wenzao bali kwa ajili yake ndio maana akasema eti aliguswa sana na Wabunge (aliokuwa amewateka pasipo kujua) walipochochewa kutamka hadharani kuwa hakutakuwa na mgombea Urais kama yeye. Siku iliyofuate,Zitto akaanza kuwadhalilisha wenzake kwa kusema analiamini gazeti lililoandika habari hizo kuliko Wabunge wenyewe akina Halima Mdee!
Je tayari mmeshasahu michango yake ya utetezi wa majenereta ya mafisadi yanayoifilisi TANESCO hadi leo na sisi wateja kubebeshwa gharama kubwa? Hebu nikumbusheni, matokeo ya ile Tume iliyoundwa na Rais na yeye akazawadiwa ujumbe; je mwishoni ilizaa matunda gani kwa wanyonge?
Sitashangaa kikao cha Bunge lijalo akazuka na hoja nyingine ya kuzuga watu. Anaweza kuzuka na hoja binafsi Bungeni ya kum-impeach Rais (kwa vile watu wanasema ni rafiki yake) na wasiohangaisha vichwa watashangilia na kusema "huyu ndiye Zitto asiye na uoga", lakini watu wenye akili watasema, subiri mwisho wa hiyo hoja binafsi tuone matunda yake mwishoni! Zitto ni kama Lowassa hasafishiki hata kwa the strongest bleaching agent. Watu wa namna hii, hata kama wangeweza kufanikiwa kuwanunua baadhi yetu; wakanunua na baadhi ya watu kwenye media ikiwemo na mitandao ya kijamii; wakaweza kutoa michango mikubwa sana makanisani, misikitini na kwa vijana-Masalia wenye njaa kwa mtaji wa umaskini wetu na ujinga wetu; Wallahi, wataibuka watu WASIODANGANYIKA NA WATAKATAA USALITI WAO NA WATAWAADHIBU VIKALI SANA SIKU ZA USONI!!
 
hAHAHAHA Wanaocheza michezo hii kila kitu hadharani na hii itakuwa xclusive kwenye tv live.Michezo michafu na imegharimu watanzania wengi.Zitto atabaki kuwa my Hero

Demokrasia ni pale Mkiti anaposimama na kumtetea fulani,ila mtu wa kawaida akifanya katumwa
 
Usipoteze muda kiongozi,Yeyey ni vuvuzelkazi yake ndio hiyo.So tupilia mbali hizi kelel zake concetrate kwenye kazi zako

Nyie masalia kwa sasa hamna mpya tumeshawajua ni bora muungane na mwenzenu wa Tanga mapema
 
Kuna watu wanapenda u-free rider! Watu wanatafuta umaarufu kupitia ZZK. Yeye amejijengea umaarufu wake, na hiyo ndiyo silaha yake, hayo mengine ya akina Saa8 ni kutafuta umaarufu kupitia migongo ya watu.

Asante ZZK kwa makala nzuri!
 
Unajiandikia makala kwa kuwa unajua ulichokifanya.Makala hii haijaandikwa kwa bahati mbaya.Mipango yako ya kufanya tukio tarehe 4-6 January kabla ya CC ili kuhamisha hisia na mind za watu naijua yote.Take it from me

Usimhukumu Zitto kwa Chuki zako binafsi....kama amejua alilolifanya(kama unavyodai) na anataka kusahihisha basi hilo ni jambo jema...yaani wewe jamaa unataka vurugu ziendelee tu ndani ya Cdm..unapata faida gani?
 
Unajiandikia makala kwa kuwa unajua ulichokifanya.Makala hii haijaandikwa kwa bahati mbaya.Mipango yako ya kufanya tukio tarehe 4-6 January kabla ya CC ili kuhamisha hisia na mind za watu naijua yote.Take it from me

Ben saanane usijifanye shekh yahya kutabiri yatakayotokea, hiyo ni sifa ya Mungu peke yake kujua kitakachotokea.Sasa ukisikia ushirikina ndo huo.Kama wewe ni mkweli si usubiri uhamuzi wa Chama na si kutaka tukuone wa maana na tukuonee huruma wakati wewe ndo Mwanzilishi wa yote haya! Shame on you.
 
Back
Top Bottom