TUNTEMEKE
Platinum Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 580
Ben funguka kaka sema kila kitu leave no stone unturned.
Bomu litakalo fumuka,huyo ben na wewe nadhani mtakosa pa kujishikilia.Ni swala la muda tu.CHADEMA CHAMA CHA KIDEMOKRASIA
Ben funguka kaka sema kila kitu leave no stone unturned.
Mh! Hebu ianike hiyo mipango mkuu. Hatutaki kuacha uchafu nyuma yetu. Kwa nini kuficha? Narudia tena hebu imwage hiyo mipango basi.
Mkuu,Ben,
Taratibu za chama zinachukuliwa kuhusu tuhuma zako dhidi yangu. Ni busara ya kawaida Kabisa kwamba tusubiri mchakato wa chama.
Tarehe ambazo unataja chama kitakuwa na vikao Kwa hiyo hayo unayosema ni masuala ya kufikirika. Isipokuwa kama una uthibitisho peleka kwenye chama.
Kuendelea kujibizana Humu ndani ni kutoa fursa Kwa maadui zetu.
Hebu kuwa na Subira kidogo chama kifanyie kazi madai yako. Ukweli utajulikana tu. kumbuka ukweli hautengenezwi. Ukweli hutafutwa.
Ni swala la muda tu,Fitina majungu na upuuzi wote wa babbu na crew yake wataumbuka.
In zitto we trust,sina kumbukumbu ya huyu kijana kupigwa za uso katika kusimamia anachokiamini.
chemba naye anapitia mambo naona kama kuna kamchezo fulani hivi kwanini ben kila siku na kwanini zitto baada ya kujibu tuntemenke amekuja faster endeleni ku connect dots
hii ishu ni zaidi ya personalities.
How did ben knew it was zitto's writings? And how quick he was to confirm his tipping!
Ni muhimu chadema wakafanyia kazi na kutoa maamuzi haraka sana!
Mh! Wengi walisema ujana maji ya moto, lakini tambueni kuwa watanzania wengi matumaini yao makubwa yamebaki kwa CDM mchezo wenu ni maumivu kwa wengi.Wake up ZZK utuonee huruma Watanzania tunasubiri ukombozi kutoka CDM, michezo yenu inatuumiza jamani.
kwanza nakupongeza kwa kupata benchi la kukalia siku hizi pale makao makuu,Hongera sana naona umerudi zizini kwa shangwe mara baada ya kuingia ethinic group tofauti. Hongera pia kazi uliyoifanya sio ndogo kijana, japo sijui kama ni riziki ama kitu gani unatafuta! Ukweli utajulikana kazana na siasa zako za maji taka na kujifanya kuwa wewe ndiyo msafi a mtukufu. Pia soma signature yangu.Kumbuka utalia na kusaga menoHuwezi kunyoshea vidole ufuasi wa mtu wakati huo huo ukiwa mmiliki wa kikundi cha watu wanaokutangaza wazi wazi kwamba wewe ndiye Rais 2015 kwenye social networks huku ukishuhudia na kupiga nao picha bila kuwakemea.
Wanasiasa vijana tuache unafiki huu
Zitto ni lulu,tegemeo kwa watanzania.mwiba kwa wala ruzuku ya chama.They needd to kill himBila shaka wewe ndio unamjua zitto
lipi lisilokuwepo???? nani kati yangu na wewe ametumia neno ethnic group??? soma utumbo uliomtumia Ben utalikuta ilo neno - shame!!! by the way nime-quote,nikabold na ku-underline na bado unakana????Ficha upumbavu wako,hekima mbele.Mbona unapenda kuhubiri yasiyikuwepo???
Furaha ni kuona unaicheza ngoma usiyoijua,lakini ni kawaida sana kushabikia uongo kuliko ukweli.Soon ukwlei utapatikana