msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,738
Ninaushauri huu kwa CHADEMA,
1. CHADEMA umrudishe Zitto kwa kishindo kwa kufanya tukio kubwa la kitaifa.
2. Tukio hilo lifanyike Dar na baada ya hapo Zitto azunguke na kamati kuu nchi nzima.
Gear itakata ngebe za ukanda na udini na ita-easy hasira za mashabiki wa Zitto ambao bado wako CHADEMA.
Lakini pia mjue Zitto anakubalika sana na kundi kubwa ambalo huwa si washabiki wa chama chochote ila ni wapiga kura kama mimi .
Mimi sina chama kabisa lakini huwa mpiga kura mzuri kabisa. Mwaka 1995 nilipigia NCCR, mwaka 2000 CUF, mwaka 2005 JK CCM 2010 CCM urais na Halima mdee CHADEMA Ubunge.
Watu kama mimi ni wengi , sisi hatupendi vyama ila watu, na Zitto ana watu kama sisi wengi.
Acheni fahari wapeni watu wapendacho.
1. CHADEMA umrudishe Zitto kwa kishindo kwa kufanya tukio kubwa la kitaifa.
2. Tukio hilo lifanyike Dar na baada ya hapo Zitto azunguke na kamati kuu nchi nzima.
Gear itakata ngebe za ukanda na udini na ita-easy hasira za mashabiki wa Zitto ambao bado wako CHADEMA.
Lakini pia mjue Zitto anakubalika sana na kundi kubwa ambalo huwa si washabiki wa chama chochote ila ni wapiga kura kama mimi .
Mimi sina chama kabisa lakini huwa mpiga kura mzuri kabisa. Mwaka 1995 nilipigia NCCR, mwaka 2000 CUF, mwaka 2005 JK CCM 2010 CCM urais na Halima mdee CHADEMA Ubunge.
Watu kama mimi ni wengi , sisi hatupendi vyama ila watu, na Zitto ana watu kama sisi wengi.
Acheni fahari wapeni watu wapendacho.