Mkuu ikoje hiyo tena?Mambo ya kutumia lugha zenu kwenye mawasiliano ya jamii inakera. Sasa "Tamika" maana yake ni Push Ups kwa kiingereza? Au ndiyo lugha yenu wewe na Babati ?
Mkuu tamika ndiyo nini?Tamika sasa
Mahabusu hawalimi acha unaziSafi sana na msimu wa mvua unaanza ngoja alime mchicha huko mtakumbuka tabasamu la j kikwete
Awamu ya tano inaimatisha upinzani kwa stahili ambayo baadae watashindwa kbs kuudhibiti....maana wanatengeneza watu jasiri,watakaokuwa tayari kupambana,kukaa jela na hata kufa!muda utatuambia!Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa mara nyingine leo (jana) amenyimwa dhamana na imeamriwa na mahakama kuwa akae mahabusu mpaka Februari mwakani kesi yake itakapotajwa tena.
Mahakama imetoa uamuzi huo baada ya kuridhishwa na vigezo vya kisheria ambavyo vilitolewa na mawakili wa Jamhuri ambao waliweka pingamizi Lema asipewe dhamana.
Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), alimtembelea Lema gerezani leo na haya ndiyo ameyaandika kuhusu Lema, kesi yake na hali ya kunyimwa dhamana.
ZITTO KABWE:
Leo (jana) Ijumaa Desemba 2/2016 nimepata fursa ya kumsalimu ndg. G Lema, mbunge wa Arusha Mjini Katika Gereza la Kuvu la Arusha. Nimemtembelea Kama mbunge mwenzangu na kumhakikishia solidarity katika harakati za kutafuta na kulinda haki.
Lema ana ari kubwa ya mapambano. Anasikitishwa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki na mahakama kuonekana kuendeshwa na Serikali. Yeye ameona ni bora akae ndani mpaka hapo dola itakapopenda kumpa dhamana. Kosa lake lina dhamana na hakimu alimpa dhamana.
Ameomba tutazame mahabusu wengi wanaokaa ndani miaka mingi bila kesi zao kuendelea. Tuwatetee.
Amemshukuru Mungu Kwa kumpa mke jasiri anayempa moyo na ndio ngome yake kwa sasa.
Nimemwomba Lema aone kuwa hii struggle sio yake peke yake bali anawakilisha watu wengi wanaotaka haki kutendeka katika uendeshaji wa nchi yetu. Siku zote haki hushinda.
CHANZO: Maandishi Genius
Mandela alifungwa miaka 27 na akatoka akawa rais; what are you talking about?Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
Acha ujinga mtochini, ebu tuambie matusi aliyotukana? Mh Zitto amesema tuko nyuma ya Lema kwa ajili ya kutafuta haki.Zitto alivyo na siasa za bila kumtukana MTU
Wala kumvunjia heshima mtu
Alipaswa kumpa ushauri huo lema
Ili afanye siasa za akili na sio kutafuta kick kwa matusi
Ndio akili yako, kutamani wenzako wafe ili ufurahi, ujue na wewe yatakupata kabla jua halijachwea. Lakini kwa kuwa unawaju wanaomuweka ndani ongea nao, wamuweke huo mwaka ambao wewe na familia yako mtufutahi.Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
Ipi? NikumbusheIle kesi ya uchochezi ya Zitto iliishia wapi?
Mbona wew n mpuuz lakin huend jela acha maneno machafu kama yanatoka choonMie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi