Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Kuna mambo magumu yanatendeka ambayo hayana faida kwa yoyote, awe hai au amekufa!!! Kinachoendelea Arusha ni vita ya siasa baina ya wanasiasa na mbunge wa Arusha. Kwa bahati mbaya sana, hawa wachache wanaojitoa kupambana na udhalim wanakosa mass support na mwishowe wanakandamizwa na kuonewa na vyombo vya sheria vya dunia ya tatu. Na katika hili, nchi za dunia ya tatu hazikustahili ziendelee kubaki dunia ya tatu, nafikiri tumeshajizogeza hadi dunia ya sita, ambayo mind zime-freeze completely. Wakati utaamua, na wakati ukifika kila kitu kitakuwa sawa.
Haki ya mtu haipotei na malipo n dunian,,mm aina hata presho coz kila k2 n mipango ya Allah tu dunia ya mwenyew Mungu ila binadamu tunajisahau sanaaaaaaa,
 
Hivi Lema yuko gerezani ama mahabusu?

Kwani tofauti ni ipi kati ya mahabusu na gerezani ?.Mantiki hapa ni kunyimwa 'uhuru' (kizuizini) ,ukiwa mahabusu au gerezani bado dhana ni ile ile upo kizuizini huna uhuru wa kujiamulia chochote..
 
Hivyo Lema alikosa nini? Sikumbuki tena. Ila kwa nini hajapelekwa kortini ama kwa nini kesi inaahirishwa kila siku bila kutoa hukumu?
Mtu akisema "ukiendelea kuonea watu Mungu anaweza kukuondoa". Ni kumonya mtu siyo kutukana.
 
Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
President Jacob Zuma told supporters on Saturday he wasn’t scared to go to prison because he had been jailed during apartheid.jela kwa wanaume wewe
 
Busara ni kitu cha bure kabisa.....hakiuzwi wala hakinunuliwi!
 
Hivyo Lema alikosa nini? Sikumbuki tena. Ila kwa nini hajapelekwa kortini ama kwa nini kesi inaahirishwa kila siku bila kutoa hukumu?
Mtu akisema "ukiendelea kuonea watu Mungu anaweza kukuondoa". Ni kumonya mtu siyo kutukana.
angeondolewa Netanyahu !
 
Teyari watu washafanya mambo yao gerezan (washafumua kila kitu), jana nimemuona katepeta kabisa, ukamanda wote kwishinei, akirudi uraiani hawezi tena kuropoka, nyie ngojen mtaona,
si unakumbuka wale masheikh waliotaka kuvunja muungaoo !?
 
Lema anatetea uhuru wa kutoa mawazo, uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano. Ni mjinga pekee anashabikia Lema kuwekwa gerezani
 
Lema anatetea kushika ukuta, na kukatwa na kufunuliwa !
 
Zitto alivyo na siasa za bila kumtukana MTU
Wala kumvunjia heshima mtu

Alipaswa kumpa ushauri huo lema
Ili afanye siasa za akili na sio kutafuta kick kwa matusi
Yale hayakuwa maneno machafu bali vitisho dhidi ya mwakilishi namba moja wa watanzania!! Alitishi usalama wa watanzania kwa ujumla wake.
 
Kuna vitu wanasiasa wetu wanatakiwa kijifunza kutoka kwa Zitto lakini cha ajabu kuna baadhi ya pro-Chadema watakuwa wamechukizwa na hili.
Mkuu vipi huko ACT kwemaaa, nasikia imebaki Kigoma tuuu
 
Elimu yangu ndogo imefahamu kwamba hapo aliposema *mke wake ndio nguzo yake kwa sasa* ni dongo kwa chadema
 
Back
Top Bottom