Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Hiyo haki anayopigania lema ambayo haipo ni ipi. inafaa kudefine watu wajue wazi lema na upinzani siku hizi mnapigania nini. kama ni haki ya kutukana viongozi matusi ya nguoni tujue. kama ni haki kuleta siasa za maono au za kidini tujue. zitto hapa anacheza unafiki kwa watu waliyomfukuza kwenye chama chao kwamba ni msaliti. siju anategemea kupata nini.

Kiongozi gani katukanwa matusi ya nguoni? Acha kujipendekeza ww, kuwa na madaraka sio sehemu ya kunyanyasia wengine.
 
Ni kweli Juma alikosea lakini sijaona koa la kumnyima dhamana. Mwanadamu mtu wa ajabu sana. Wewe unayemtesa mwenzako kesho yataeuka kwako ndivyo ilivyo na kwa hiyo tuache kulipizana vizazi tukiwa hapa duniani.
 
Umejiunga juzi hapa unaleta mambo ya kike ukidhani watu tunafagilia huo uonevu wa kipuuzi. Maendeleo yamewashinda kuleta mmebaki kutumia dola kunyanyasa wengine. Sifa aliyonayo huyo mkuu ni kutumia ubabe usio na faida kwa taifa, kuna mikataba kibao mpaka sasa inaliumiza taifa hamna lolote la maana zaidi ya kujiboost na madaraka.
Sasa kunatofauti gani na huyo ambaye anaacha kuwatumikia wananchi wake na kwenda kujiingiza kwenye matukio ya kijinga ya kutabiri vifo vya watu?
 
Kiongozi gani katukanwa matusi ya nguoni? Acha kujipendekeza ww, kuwa na madaraka sio sehemu ya kunyanyasia wengine.
"Ni heshima kwa mungu kumzomea na kumtukana......"LEMA
 
Ni kweli Juma alikosea lakini sijaona koa la kumnyima dhamana. Mwanadamu mtu wa ajabu sana. Wewe unayemtesa mwenzako kesho yataeuka kwako ndivyo ilivyo na kwa hiyo tuache kulipizana vizazi tukiwa hapa duniani.


Kwa hiyo ndo unatoa laana au? Ingekuwa rahisi kihivyo basi leo hii Wazungu wangegeuka waztumwa wetu kwa maana walitutesa sana, lkn wapi bado wanapeta tu tena ndo kwanza wanazidi kututesa!!
 
Hii roho ya kisasi mbaya sana..itawarudia wenyewe c watoto wanao...mfano yule aliewaita wawengine vilza...wakwake akawa prof wao
 
HONGERA SANA ZITTO. ALWAYS I'M SAYING.."YOU ARE A MIRROR IMAGE"
KEEP IT UP!
 
Zitto haaminiki na hata maneno yake hayaaminiki.huyu sio Zitto yule tunayemfahamu wa enzi zileeee.Yeye aseme alikuwa anatafuta mwanya wa kumsalimia mke wa Lema bhassss

wew ulimuamini mwenyekiti wako aliposema kuwa lowasa ni fisadi
 
Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
Haya manuizo unayomtakia mtu asiye na hatia au mwenye hatia yatampata au yakimkosa yanaweza kumpata umpendaye awe mwanao au mjukuu au kitukuu ujue tu kwamba kila upuuzi dhidi ya mnyonge hulipwa duniani na mbinguni. Hapa mnyonge aweza kuwa lema au magu au wewe kikubwa usiombe mabaya kwa mwingine
 
Safi sana watanzania wanatakiwa kuishi hivyo....

Bila kuunga uchwara atawatesa sana watanzania......
Swali je upande wa pili wanamchukuliaje Zitto? Zitto kataka pia kuwaonesha cdm kuwa chuki zao za kipuuzi kwake huwa yeye anazipotezea
 
Haya manuizo unayomtakia mtu asiye na hatia au mwenye hatia yatampata au yakimkosa yanaweza kumpata umpendaye awe mwanao au mjukuu au kitukuu ujue tu kwamba kila upuuzi dhidi ya mnyonge hulipwa duniani na mbinguni. Hapa mnyonge aweza kuwa lema au magu au wewe kikubwa usiombe mabaya kwa mwingine
"Ni heshima kwa mungu kumzomea na kumtukana....." LEMA
 
Back
Top Bottom