Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,684
Tupo wengi afungwe mwaka hata mmoja tuIkitokea tukapata watanzania 10 wengine wanaowaza kama wewena wenye matamanio kama yako hakika ingekuwa hasara kubwa sana kwa taifa.
Tupo wengi afungwe mwaka hata mmoja tuIkitokea tukapata watanzania 10 wengine wanaowaza kama wewena wenye matamanio kama yako hakika ingekuwa hasara kubwa sana kwa taifa.
Mabosi wake tangu awekwe nondo hawajamuona, maana nn?Kesi za namna hii mwanzoni zinakua na wapambe kibao,lakini watapukutika mmoja baada ya mwingine mpaka itabaki familia tu.
Wakati wa kesi ya Babu seya na wanawe,watu walifikia hatua ya kuandamana,lakini sidhani kama kuna kati yao anaekwenda gerezani
Ili iweje?Nackia pogba nae ataenda kumtembelea cku ya jtatu!
Mambo ya kutumia lugha zenu kwenye mawasiliano ya jamii inakera. Sasa "Tamika" maana yake ni Push Ups kwa kiingereza? Au ndiyo lugha yenu wewe na Babati ?Tamika sasa
Aende kutafuta nini kwenye ujinga wa Lema,?Ivi mwenyekiti kaenda kumuona kweli?
Yeye ni mahabusu, bado hajawa mfungwa, acha furaha za kichawi. Subiri kesi isikilizwe, halafu ahukumiwe.Safi sana na msimu wa mvua unaanza ngoja alime mchicha huko mtakumbuka tabasamu la j kikwete
Pole sana kazi ya kuhukumu waachie mahakama.Zitto alivyo na siasa za bila kumtukana MTU
Wala kumvunjia heshima mtu
Alipaswa kumpa ushauri huo lema
Ili afanye siasa za akili na sio kutafuta kick kwa matusi
Kwamba na aliye muweke ndani anataka aitwe Kaburu.?Kwani kuna mtu alikuambia Lema anajuta kukaa selo. Hujui jamaa anapenda kukaa huko ili aitwe Mandela?
Nafaidi ustaarabu na utulivu akifungwaunafaidi nini binadamu mwenzio akifungwa?
Zitto alivyo na siasa za bila kumtukana MTU
Wala kumvunjia heshima mtu
Alipaswa kumpa ushauri huo lema
Ili afanye siasa za akili na sio kutafuta kick kwa matusi
Zitto haaminiki na hata maneno yake hayaaminiki.huyu sio Zitto yule tunayemfahamu wa enzi zileeee.Yeye aseme alikuwa anatafuta mwanya wa kumsalimia mke wa Lema bhassss
Ndio nani huyo mkuuNackia pogba nae ataenda kumtembelea cku ya jtatu!
Enzi zile akiwa kijana mdogo.Enzi zipi! Enzi zile za List of shame?
Si rahisi kivile kuwa mwanasiasa bila kuwa mnafiki. Ili uwe mwanasiasa wa kweli na nguli kweli kweli lazima u-blend unafiki na ukweli pamoja.Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
Nenda kamuulize.Kwamba na aliye muweke ndani anataka aitwe Kaburu.?
Hiyo haki anayopigania lema ambayo haipo ni ipi. inafaa kudefine watu wajue wazi lema na upinzani siku hizi mnapigania nini. kama ni haki ya kutukana viongozi matusi ya nguoni tujue. kama ni haki kuleta siasa za maono au za kidini tujue. zitto hapa anacheza unafiki kwa watu waliyomfukuza kwenye chama chao kwamba ni msaliti. siju anategemea kupata nini.Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa mara nyingine leo (jana) amenyimwa dhamana na imeamriwa na mahakama kuwa akae mahabusu mpaka Februari mwakani kesi yake itakapotajwa tena.
Mahakama imetoa uamuzi huo baada ya kuridhishwa na vigezo vya kisheria ambavyo vilitolewa na mawakili wa Jamhuri ambao waliweka pingamizi Lema asipewe dhamana.
Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), alimtembelea Lema gerezani leo na haya ndiyo ameyaandika kuhusu Lema, kesi yake na hali ya kunyimwa dhamana.
ZITTO KABWE:
Leo (jana) Ijumaa Desemba 2/2016 nimepata fursa ya kumsalimu ndg. G Lema, mbunge wa Arusha Mjini Katika Gereza la Kuvu la Arusha. Nimemtembelea Kama mbunge mwenzangu na kumhakikishia solidarity katika harakati za kutafuta na kulinda haki.
Lema ana ari kubwa ya mapambano. Anasikitishwa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki na mahakama kuonekana kuendeshwa na Serikali. Yeye ameona ni bora akae ndani mpaka hapo dola itakapopenda kumpa dhamana. Kosa lake lina dhamana na hakimu alimpa dhamana.
Ameomba tutazame mahabusu wengi wanaokaa ndani miaka mingi bila kesi zao kuendelea. Tuwatetee.
Amemshukuru Mungu Kwa kumpa mke jasiri anayempa moyo na ndio ngome yake kwa sasa.
Nimemwomba Lema aone kuwa hii struggle sio yake peke yake bali anawakilisha watu wengi wanaotaka haki kutendeka katika uendeshaji wa nchi yetu. Siku zote haki hushinda.
CHANZO: Maandishi Genius
Tusubiri hatima yakeSawa..,.
Wasiokuwa akiri kichwani wataamini Lema hajafanya upumbafu