Zitto amtembelea Lema gerezani baada ya kunyimwa dhamana

Hata kesi ya babu seya mlipiga kelele HIV HIV mwishowe jamaa wanapiga tu bend ya magereza,kuwa na busara ni kitu muhim katika maisha
 
Acha kujiona muerevu kwa mambo yaliowazi. Kuwaita wenzio malofa na wapumbavu, wewe je? Au umejitoa ufahamu?
 
Kweli Lema alikosea lakini kitendo cha mahaka kuingiliwa huu ni mwendelezo wa mfumo mbovu ambao watendaji wakuu wa vyombo muhimu Kama hivi kuteuliwa.
Mkuu mahakama imeingiliwa na mtu gani unaweza kutusaidia kuthibitishia kauli yako pasipo chembe ya shaka?
 
Hivi Harry Kitilya aliwahi kufikiria atakaa mahabusu, achana na siku moja kupita tu karibu na gereza? Huyo hakimu na wamshurutishao zamu yao yaja.
Ndio, si alipiga dili? Kila mpiga dili anakaa kimachale.
 
Hujiulizi ni kwa nini Mandela alipotoka Gerezani alipokelewa na Winnie Mandela na siyo kina Oliver Thambo. Vitu rahisi namna hii kueleweka vinapokuwa vigumu kwenu ndiyo inayotufanya tujue ni kwa nini mnawashabikia wale jamaa!!
Mandela Mandela ... Unamjua Mandela wewe.
 
Hivi?
Zitto hajamshawishi Lema ili ajiunge na ACT?
 
Ulidhani siasa ni uadui?
 
Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
Wewe bila kumsifia zzk huwezi kupata usigizi
 
Zitto ni mtu safi sana, siasa zake za kistaarabu sana. Sijui ana roho ya namba gani huyu jamaa. Hana visasi hata siku moja.
 
Halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa. Kila atakayeleta za kuleta ni lazima ajutie maneno au vitendo vyake. Ubatizo wa maji umepita, uliobaki sasa ni ubatizo wa moto. (We have to change our mindset )
 
alichokosea jamaa ni kushika sharubu za no 1 wakati mwenzie alishasema hataki mtu ajaribu kuchezea sharubu zake
 
Hapa ndo wapinzani wananifurahisha kila kitu wanageuza fursa
 
Halitasalia jiwe juu ya jiwe ambalo halitabomoshwa. Kila atakayeleta za kuleta ni lazima ajutie maneno au vitendo vyake. Ubatizo wa maji umepita, uliobaki sasa ni ubatizo wa moto. (We have to change our mindset )

Rais wa Gambia amekubali kushindwa uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…