Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 825
Badala ya kumshauri ajiheshimu kama wabunge wengine, nyinyi mnampa kichwa ngumu. Mbona lisu yeye alibadirika upesi na kumheshim rais?? hata huyo zito mbona alinyooka.
Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
unafaidi nini binadamu mwenzio akifungwa?Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
Unajidanganya wewe.Kesi za namna hii mwanzoni zinakua na wapambe kibao,lakini watapukutika mmoja baada ya mwingine mpaka itabaki familia tu.
Wakati wa kesi ya Babu seya na wanawe,watu walifikia hatua ya kuandamana,lakini sidhani kama kuna kati yao anaekwenda gerezani
Alipata kuwepo muimbaji mmoja wa kitanzania aliimba "Chunga Tamaa mbaya"Mie natamani lema akae huko walau mwaka mmoja tu
Huyu kazidisha upuuzi
Nchi ya kusadikikaMbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa mara nyingine leo (jana) amenyimwa dhamana na imeamriwa na mahakama kuwa akae mahabusu mpaka Februari mwakani kesi yake itakapotajwa tena.
Mahakama imetoa uamuzi huo baada ya kuridhishwa na vigezo vya kisheria ambavyo vilitolewa na mawakili wa Jamhuri ambao waliweka pingamizi Lema asipewe dhamana.
Zitto Kabwe ambaye ni Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), alimtembelea Lema gerezani leo na haya ndiyo ameyaandika kuhusu Lema, kesi yake na hali ya kunyimwa dhamana.
ZITTO KABWE:
Leo (jana) Ijumaa Desemba 2/2016 nimepata fursa ya kumsalimu ndg. G Lema, mbunge wa Arusha Mjini Katika Gereza la Kuvu la Arusha. Nimemtembelea Kama mbunge mwenzangu na kumhakikishia solidarity katika harakati za kutafuta na kulinda haki.
Lema ana ari kubwa ya mapambano. Anasikitishwa sana na ukiukwaji mkubwa wa haki na mahakama kuonekana kuendeshwa na Serikali. Yeye ameona ni bora akae ndani mpaka hapo dola itakapopenda kumpa dhamana. Kosa lake lina dhamana na hakimu alimpa dhamana.
Ameomba tutazame mahabusu wengi wanaokaa ndani miaka mingi bila kesi zao kuendelea. Tuwatetee.
Amemshukuru Mungu Kwa kumpa mke jasiri anayempa moyo na ndio ngome yake kwa sasa.
Nimemwomba Lema aone kuwa hii struggle sio yake peke yake bali anawakilisha watu wengi wanaotaka haki kutendeka katika uendeshaji wa nchi yetu. Siku zote haki hushinda.
CHANZO: Maandishi Genius
Wenzio? Ha ha ha, akina nani hao?Waulize wenzio walioko "Duty" watakuwekea hiyo "Link" unayotaka!
Ungeuliza "Wenzangu" na wewe kuandika kama nilivyoandika siyo sawa hata kidogo. Kumbe hamjuani??Wenzio? Ha ha ha, akina nani hao?
Tena.Kwanini usingejikita ktk hoja ambayo hata zitto ndipo alipo?Huwa najifunza mengi sana kwa zitto kabwe ni mtu mstaarabu na pia mvumilivu na ni mwanasiasa wa kweli aisekuwa na lepe la unafki
Watu wa Syria wangependa kusikia maneno haya.Mungu yupo na anaishi, huwa hawahi wala hachelewi bali anatenda haki kwa wakati
Weka linki wewe, acha kujibaraguza.Ungeuliza "Wenzangu" na wewe kuandika kama nilivyoandika siyo sawa hata kidogo. Kumbe hamjuani??
Waulize wenzio walioko "Duty" watakuwekea hiyo "Link" unayotaka!
eti walioko duty, kwahiyo mkuu kumbe kunao zamu huko lumumba? hahaha