Soraya
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 202
- 65
Mi nadhani kungekuwa na utaratibu hali kama hiyo inapotokea chama husika kiteue mtu atakayechukua nafasi ya ubunge sio kurudi tena kwenye uchaguzi inagharimu muda,energy na fedha nyingi.
Ina maana tatizo kama hilo likitokea kwenye chama kingine uchaguzi ufanyike tena!
Ina maana tatizo kama hilo likitokea kwenye chama kingine uchaguzi ufanyike tena!