Does that answer my question? Kwa nini naye asiseme kwamba aliukopi mahali badala ya kuukana.blog ngapi ziliweka ule walaka mkuu? kwanini asiwashitaki wote sasa hakuna jipya ni anahangaika tu huyo zitto, blog sikuiz zinacopy n paste eti zitto ndio anajiona msomi na anauelewa sasa sijui atambana vipi kuwa kilewo ndie msambazaj na ninauhakika kwa tulipofikia ndio tutaujua ukwel wa akil ya zitto kama nae sio kichwa maji, akili ya mtu hupimwa kwenye matatzo sio kwenye raha na mbaya zaid hadi wakili wakina zitto nae shida tupu.
Kama hamfaidi kitu mbona mnashupalia usiku kucha Zitto zitto, uchnguzi uchaguzi. Nonsense kabisa!
Hayo maneno ni ya kweli ila kuna walamba "buti" wake wanajifanya hawayaoni waseme wafukuzwe kwenye chama!Mkuu FaizaFoxy, haya ni maneno ya kejeli!! Ninakuhakikishia hayatoko moyoni!!! Siasa ni kuchokoza na watu wakiitupa katika net basi ndiyo utaujua ukweli!!! Si rahisi Mh. Mbowe awe amedhamiria hayo uliyo quote hapo juu.
Tulizana wewe subiri kwenda segerea Zitto hawewezi kutaka huruma kutoka kwako, teh teh teh kumekucha.
Mkuu the Big Show, ninaishi Tz nyumbani kwangu. Hapa JF ni kijiwe tu siku nikiwa na muda. Kuna wakati hata miezi miwili inakatika sikanyagi huku mkuu wangu. Basi kama walishamkana basi kuna jambo. Je huyo dada anayewasiliana naye hakumtetea?? Si unajua tena wazee wetu, pengine kulikuwa na mtelezo kwa hiyo ukubwani ndipo watoto wanajitokeza!!!! Ndiyo maana tunasema weka wazi mambo yako hata chagua ndugu mmoja mweleze walipo vifaranga wako wote wa ndani na nje??? Basi tufanye DNA ndiyo mwisho wa matatizo!!! Pengine Yericko ana haki ya kuwa mwanafamilia.Hivi we unaish wapi??
Humu humu Jf au wapi??
Familia ya mwalimu kupitia kwa kijana wake Andrew Nyerere walishakuja kulalamika na kusema hawamfaham huyu jamaa humu ndan,
Jamaa kama hiyo haitoshi akaanza kusema kwamba yeye kule butiama ana fahamika,na kwamba yule binti wa nyerere mbunge anafanya nae mawasiliano,na anawakaribsha anaokoish huko kwake sijui mbutu sijui,
Huyo mtu ni tapeli,huyo na mwenzake saa nane ni matapeli,tunawaasa mukae nao mbali sana,hawafai hata kidogo hao njaa kali
Mkuu umejuaje kuwa cacico ni mwanamke!!! Si anatumia hidden ID tu kama ya kwako? Sema pia hapa JF uwanza ni wazi ili mradi usitukane!!! Kwa hiyo cacico alikuwa na uhuru wa kujibizana ili mradi hakuvunjii heshima au vipi mkuu wangu the Big Show? Poa, poa tu hapa ni keyboard tu maana kuna watu wana ID za kike kumbe ni midume na ndevu zenye mvi kabisa.
CCM yatosha hatutaki wahuni kuichezea nchi yetu.
Mkuu kama una ushahidi poa tu, hata mkuu the Big Show amesema kuna ndugu walishalalamika hapa. Kifupi sasa tufanye DNA ili tuthibitishe!!!! Si unajua hata IGP Mahita alikana photocopy?? Alipoambiwa mambo ya DNA akawa anachenga!!! Sijui alifanya au ndiyo alikula kona.Mkuu unabisha tu au una ushahidi nikikuletea ushahidi wa familia ya Nyerere walivyolalamika utasemaje.
We chukua time zako binti,
Who is your brother,ni behave kivipi??who are you tryng to tell me what to speak??
Chai leo haijashuka siku zote unaninunulia wewe??jike zima asubuhi asubuhi kama hii unataka kujibishana na wanaume huon hatari??una tafuta bwana au??
pole sana,me nimeshaoa n i have a very beautiful wife with happy home..!!,,muda wa kuruka ruka na viruka njia kama wewe i am sorry sitokuwa nao,sikujui hunijui,wala sijawahi kuingia anga zako hata siku moja,usiingie kwenye battle isiyo kuhusu sawa??
Kama kweli umedhikika na unatafuta bwana wa kukufaa ngoja nitakufuata PM tuzungumze may be nawez kukusaidia,but not me :busu ,,
This is just a piece of an advice to you,tokea nijiunge JF sijawahi kujibishana na binti yyte,huwa nawaheshimu sana wanawake coz najua kupitia mwanamke mimi niliweza kuja hapa dunian.,siyo siri naheshim sana mwanamke,nakupa homework tafuta humu JF huwez ona hata siku moja najibishana na mwanmke kwa namna yyte ile,
Wewe ni wa kwanza,sasa skia mind your own goddmaned biznes,
Pole kwa maneno makali na povu jingi kutoka kwangu,ila hivyo ndivyo unavyostahili kujibiwa,
I am puttin this to the shortest term known to me "i don wrestle with biach biach biach..""
Mkuu the Big Show, ninaishi Tz nyumbani kwangu. Hapa JF ni kijiwe tu siku nikiwa na muda. Kuna wakati hata miezi miwili inakatika sikanyagi huku mkuu wangu. Basi kama walishamkana basi kuna jambo. Je huyo dada anayewasiliana naye hakumtetea?? Si unajua tena wazee wetu, pengine kulikuwa na mtelezo kwa hiyo ukubwani ndipo watoto wanajitokeza!!!! Ndiyo maana tunasema weka wazi mambo yako hata chagua ndugu mmoja mweleze walipo vifaranga wako wote wa ndani na nje??? Basi tufanye DNA ndiyo mwisho wa matatizo!!! Pengine Yericko ana haki ya kuwa mwanafamilia.
usininifuate pm we kiumbe! KAMA UNA LOLOTE LA KUONGEA ONGEA HAPA! MWENYE KUJUA JINSI YA KU-BLOCK WATU PM ANIELEKEZA ASAP! jiheshimu!She is a lady,
And i have just told her that "I DON WRESTLE WITH BIACH BIACH BIACH..."
She has to slow down biach because she's speedin...
chadema wataisoma namba,
mm chadema ikifa siwezi kulia nitaitupa mto kagera.
wabaguzi, wadini na wafitini mungu akiaangamizilie mbali chama cha wavuta bangi na malaya kama malay slaa na mbowe.
kazi kuchukua wake za watu na kuzaa nje ya ndoa zao
Mfa maji hakosi kutapatapa, zitto by by... magazeti yajiandae kuandika tena kwamba...Chadema yapasuka..chadema hoi....chadema ilishakufa siku nyingi na ikafufuka....
Timua Zitto.
Duh!!! Wewe ni ME au KE? Umekulia mitaa gani? Una elimu gani? Umekulia kwa wazazi wawili au single parent (mama)?, ni kweli umeoa? Mke kabisa kama unavyosema? Najaribu kujiuliza tu!! Kama yote maswali jibu lake ni YES basi we mkali mazee!!!!!! Uko njema! Ndiyo maana wanaume siku hizi tunaishia kupiga risasi wananwake maana kwa majibizano yako unaonekana una kidomodomo sana kam binti wa kizaramo!!!We chukua time zako binti,
Who is your brother,ni behave kivipi??who are you tryng to tell me what to speak??
Chai leo haijashuka siku zote unaninunulia wewe??jike zima asubuhi asubuhi kama hii unataka kujibishana na wanaume huon hatari??una tafuta bwana au??
pole sana,me nimeshaoa n i have a very beautiful wife with happy home..!!,,muda wa kuruka ruka na viruka njia kama wewe i am sorry sitokuwa nao,sikujui hunijui,wala sijawahi kuingia anga zako hata siku moja,usiingie kwenye battle isiyo kuhusu sawa??
Kama kweli umedhikika na unatafuta bwana wa kukufaa ngoja nitakufuata PM tuzungumze may be nawez kukusaidia,but not me :busu ,,
This is just a piece of an advice to you,tokea nijiunge JF sijawahi kujibishana na binti yyte,huwa nawaheshimu sana wanawake coz najua kupitia mwanamke mimi niliweza kuja hapa dunian.,siyo siri naheshim sana mwanamke,nakupa homework tafuta humu JF huwez ona hata siku moja najibishana na mwanmke kwa namna yyte ile,
Wewe ni wa kwanza,sasa skia mind your own goddmaned biznes,
Pole kwa maneno makali na povu jingi kutoka kwangu,ila hivyo ndivyo unavyostahili kujibiwa,
I am puttin this to the shortest term known to me "i don wrestle with biach biach biach..""
Mkuu usiwe na haraka ndiyo kesi imeanza hii chein ni ndefu vuta subra.
Ha ha ha!!!! The Big Show!!!! Leta evidence ya maandhishi kuwa Yericho Nyerere alimkana baba yake!!! Tutakuamini kupitia key board tu? Off course tunajua upande unaoegemea kisiasa ila usipende ku-attack watu bila evidence!!! Wewe ni nani ulalamike wakati watoto wa baba wa Taifa hawajalalamika??? Mfupa usiokuhusu unaudandia wa nini??? Pole sana.
Mkuu kwa hiyo wewe unaamini Yericko ni mtoto wa Julius Nyerere?Mkuu the Big Show, ninaishi Tz nyumbani kwangu. Hapa JF ni kijiwe tu siku nikiwa na muda. Kuna wakati hata miezi miwili inakatika sikanyagi huku mkuu wangu. Basi kama walishamkana basi kuna jambo. Je huyo dada anayewasiliana naye hakumtetea?? Si unajua tena wazee wetu, pengine kulikuwa na mtelezo kwa hiyo ukubwani ndipo watoto wanajitokeza!!!! Ndiyo maana tunasema weka wazi mambo yako hata chagua ndugu mmoja mweleze walipo vifaranga wako wote wa ndani na nje??? Basi tufanye DNA ndiyo mwisho wa matatizo!!! Pengine Yericko ana haki ya kuwa mwanafamilia.
Poa mkuu, mimi siyo mtaalam wa masuala ya dini, ila ninafikiri watanzania wanakipenda CDM ni wa aina zote. Matukio ya miezi michache iliyopita hata mwaka jana kuhusu imani za dini na matendo inalazimisha kila mtu awe na hofu sana na uislam!!! Sorry to say this, hawa watu ni hatari sana kama ambavyo hata prezzo mwenyewe ni hatari!!! ameamua kujitoa mhanga kwa tuhuma za uongo na sasa anatapatapa anataka aondoke na watu!!! Sasa tusubiri the end of the show!!Hiki chama kina mapenzi ya kweli kwa waumini wa dini ya kikristo ila muislamu wa kweli aliyekamilika imani yake hawezi kukaa katika chama hiki. Nakubaliana na mipango ya makaratasini ya CDM ila jinsi viongozi wa chadema wanavyoudhihaki na kuwatukana waislamu kamwe muislamu wa kweli hawezi kaa meza moja na watu hawa. Ushahidi ninao.