Mh Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema "Nimekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi na Mbunge Dennis Kucinich" nawasilisha.
Mh Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema "Nimekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi na Mbunge Dennis Kucinich" nawasilisha.
Mh Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema "Nimekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi na Mbunge Dennis Kucinich" nawasilisha.
Nancy Pelosi, former Speaker of the US Congress met Zitto Kabwe, MP for Kigoma North, Tanzania in her office following introduction by congressman Dennis Kucinich from Ohio.*
Zitto visited the Capitol to meet Senators and Representatives on pushing for Governance reforms in Tanzania and strengthening accountability of institutions in order to curb corruption and improve service delivery to the people.*
Zitto is in a private visit to the US. He will talk with Tanzanians living in the US on the 27th of May on various issues, after a brief visit to The Netherlands on Oil and Gas agenda.*
He is one of the two MPs seriously working on preparing Tanzania for a Natural Gas Economy. He recently coined Tanzania as "The United Republic of Natural Gas" following newly announced discoveries of massive gas reserves in Mtwara, Tanzania.
*
Source: Zitto Kabwe meets former US Speaker,*Nancy Pelosi - wavuti ner&utm_medium=twitter&utm_cam paign=Feed%3A+wavuti+%28Wavuti +%29
Sioni tatizo hapo, hayo ni kati ya majukumu aliyopewa na umma.
Itakuwa ishu kama mazungumzo hayo hayahusiani na maendeleo ya nchi na wananchi kwa nama yoyote ile.
Ni wajibu wake kutumia kila nafasi inapopatikana kupngea na au kubadilshana mwazo na mtu yeyote wa wadhifa wowote na wa nchi yoyote kwa maslahi ya taifa.