kwa maoni yangu zitto hapaswi kuchukua hata senti tano kwa malipo ya wabunge. mbona alishajiuzulu ubunge? anachukua kwa msingi gani? huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine
By Zitto,
Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.
Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.
Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.
Source: His facebook page.
Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.
unaandika vitu ambavyo huvijui zitto alifukuzwa lini chadema, tangu tamko la kusema kajifuta uanachama bado alikuwa anahudhuria vikao vya bunge je alikuwa nahudhuria kwa misingi ipi?. barua ya kufukuzwa alipewa lini acha porojo mkuuZitto alikosa sifa ya kuendelea kuwa mbunge baada ya kufukuzwa uanachama wa chama ambacho 'kwacho' alipata kuwa mbunge. Hakuwa na namna nyngine kisheria ya kuendelea kuwa mbunge. Au unataka kuniambia ulikuwepo uwezekano wa kuendelea kuwa mbunge ilhali si mwanachama wa CHADEMA? Hata wanaoshabikia kauli za kusema eti alijiuzuru naona kama hawajui wanachosema. Kujiuzuru unafanya pale ambapo unapokuwa na uhuru wa kuchagua kufanya hivyo au kuacha. Zitto hakuwa na uhuru huo. Ni sawa na yule Waziri 'aliyejiuzuru' wakati mbadala wake ameshateuliwa!
Ni vyema ukajisomee tofauti ya mtu aliejiuzuru na kufukuzwa je? wana wana lipwa sawa. maana umeshindwa hoja unakuja na maswali ya kitotohaa haa hivi mwalimu akijiuzulu uwalimu naye hulipwa?
lowasa kajiuzuru bado analipwa 80% ya mashahara wa waziri mkuu huu ni uthibitisho tosha kuwa ukijiuzuru bado una stahili kulipwa sheria katafute inayohusu marupurupu ya viongozi wetu.kumbe ukijiuzulu ni halaliyako kulipwa? tuwekee sheria inayoruhusu hilo hapa mkuu.
kwa hiyo yeye akipokea na kusaidia kujenga bweni ni mzalendo lakini wengine wakipokea na kutoa msaada majimboni kwao ni ufisadi!Huu ndio uzalendo
By Zitto,
Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.
Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.
Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.
Source: His facebook page.
Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.
By Zitto,
Juzi nilipokuwa jijini Mbeya niliulizwa na wananchi iwapo nami nitachukua kiinua mgongo cha tshs 238 milioni kitakacholipwa kwa wabunge. Nimewajibu kuwa msimamo wangu upo wazi kwenye masuala haya.
Chochote ambacho sio haki yangu sitachukua. Fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa sheria nitapeleka kusaidia ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi Shule ya Buhangija na Hospitali ya Saratani ya Ocean Road. Buhangija nilitembelea mwezi Aprili na kukuta watoto wanalala kwa shida sana.
Niliamua kusaidia juhudi zinazofanywa na Miss. Tanzania Briggite Alfred ambaye anajenga Bweni pale. Ocean Road ni mchango wangu katika kusaidia wagonjwa wa saratani, ugonjwa uliomchukua mama yangu Hajjat Shida Salum.
Source: His facebook page.
Huyu Zitto kweli ni akili kubwa. Muda si mrefu wanafiki na wapenda sifa nao wataanza kumuiga, japo moyoni hawapendi kuachia hiyo mihela.
hivi unaelewa hata unachopost? Zitto alisema posho za kukaa bungeni hachukui na hakuchukua mpaka alipoondoka bungeni. hivi wewe unafikiri Zitto ni yule mhamasishaji wa chama aitwae dj mbowe aliyerudisha gari la kub kwa mbwembwe halafu akalirudia kulichukua kimya kimya? na huo ni utaahira kweli kweli.Zitto, anasema atachukua zile anazostahili kwa mujibu wa sheria , sasa yeye ambazo hastahili ni ngapi? Vipi kuhusu posho ya kukaa ambayoalisema aliacha kuchukua , mbona aliendelea kuchukua ?
Ni vyema ukajisomee tofauti ya mtu aliejiuzuru na kufukuzwa je? wana wana lipwa sawa. maana umeshindwa hoja unakuja na maswali ya kitoto
lowasa kajiuzuru bado analipwa 80% ya mashahara wa waziri mkuu huu ni uthibitisho tosha kuwa ukijiuzuru bado una stahili kulipwa sheria katafute inayohusu marupurupu ya viongozi wetu.
Zitto anakataa posho kwa mkono wake wa kulia na kupokea fedha za escrow kwa mkono wake wa kushoto.
Ila zinga saidia kujenga ACT. Lakini ni sahihi kuwaachia wanyonge kama zitawafikia ( na huu ndio uzalendo wa kweli )