kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Hayo ni mambo ya kusadikika tu, utakumbuka kauli ya juzi iliandikwa baada ya 5 days kupita, wapinzani wa CDM wako makini nao, walirusha hiyo ili kuwagombanisha lakini si uliona walikaa wakatulia, it is a game, mi naamini Zitto ni kiongozi mzuri hawa wengine wamekuja juzi tu, mfikirie Zitto kwa upana kidogo not just juu juu.
Dr. Slaa ni makini ndiyo maana yuko na Zitto hata kama wote wanataka urais. But Zitto is much better than hawa wanajichukulia umaarufu kwa kudai watu wale mchana Zanzibar.
Zitto is a leader, hata CCM wanamkubali, anatakiwa kiongozi kama huyu ili kuleta mahusiano mazuri ndani ya jamii ambayo sasa makundi yako wazi kabisa achilia mbali vyama, na udini pia umejaa, hata hapa JF habari ya Zitto kuna watu hawa ijadili hivihivi tu kuna mambo mengine nyuma ya pazia.
Dr. Slaa ni makini ndiyo maana yuko na Zitto hata kama wote wanataka urais. But Zitto is much better than hawa wanajichukulia umaarufu kwa kudai watu wale mchana Zanzibar.
Zitto is a leader, hata CCM wanamkubali, anatakiwa kiongozi kama huyu ili kuleta mahusiano mazuri ndani ya jamii ambayo sasa makundi yako wazi kabisa achilia mbali vyama, na udini pia umejaa, hata hapa JF habari ya Zitto kuna watu hawa ijadili hivihivi tu kuna mambo mengine nyuma ya pazia.
Tukubali tukatae zitto anatumika ku distabilise Chadema kumbuka wakati wa kampeini kule Arumeru watu wako kwenye battle field dakika za lalasalama nakumbuka zilikua zimebaki siku mbili tuu anaibuka na hoja ya kugombea uraisi ili ahamishe ajenda kuu ya kampeini thank God kwa busara ya Dr. Slaa alivo uliza juu ya kauli ile ya Zitto alisema hawezi kuzungumzia upuzi maana ajenda iliyopo ni Nasari kuingia bungeni. Ila kwa hili kapatikana na mengine yatafumuka hata mama yake mzazi aliwahi kukiri hadharani kwamba mwanae anatumiwa