TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,012
- 11,406
Hata kama amesema muda huu je kuna ukweli katika hayo aliyosema? Hebu sasa tuwe objective
Ben, good vision haiwi objective pale tu unapoguswa mambo yako
kama alijua haya, alikaa nayo ya nini??? ndio maana nasema kila kitu ni bad timing, tunacheza siasa za kuliana timing na kupapasana....
if you kill someone (au kutuhumiwa kuua) and katika utetezi wako ukasema my friend timing naye aliua mtu last month... does it make you a saint??
THINK ABOUT IT BUDDY!