Nakubaliana kabisa kwamba wafadhili wote wazuie misaada mpaka report ya EPA
na wizi mwingine wa BOT uwekwe wazi.
Nashangaa watu kama Mzindakaya nao wanaongea pamoja na kuliingiza taifa hasara ya mabilioni kwa kutumia BOT hiyo hiyo.
Kwa mwendo wa sasa wa TZ, hatuwezi kusogea kabisa.
na wizi mwingine wa BOT uwekwe wazi.
Nashangaa watu kama Mzindakaya nao wanaongea pamoja na kuliingiza taifa hasara ya mabilioni kwa kutumia BOT hiyo hiyo.
Kwa mwendo wa sasa wa TZ, hatuwezi kusogea kabisa.