Mh. ZZK akiwa amefuatana na Mh. Rose Kamili, Mbassa, Kasulumbay na viongozi wengine wa Chadema Wilaya na kata.
Mkutano ulikuwa ufanyikie viwanja vya shule ya msingi lakini walinyimwa na baadaye ukafanyikia viwanja vya mnadani ambavyo viko nje kidogo ya mji wa Katesh ila watu walikuwa wengi na Katibu wa Mary Nagu alihudhuria.
Mkutano ulikuwa wa dharura na ulikuwa wa dk 45 tu. Kadi za Chadema ziligawanywa.
Nitajaribu kuwawekea picha japo natumia simu.
Mkutano ulikuwa ufanyikie viwanja vya shule ya msingi lakini walinyimwa na baadaye ukafanyikia viwanja vya mnadani ambavyo viko nje kidogo ya mji wa Katesh ila watu walikuwa wengi na Katibu wa Mary Nagu alihudhuria.
Mkutano ulikuwa wa dharura na ulikuwa wa dk 45 tu. Kadi za Chadema ziligawanywa.
Nitajaribu kuwawekea picha japo natumia simu.