Zitto achukua fomu Kigoma mjini

Zitto achukua fomu Kigoma mjini

Hahahahahahh.....

Kamkimbia Mnyika Ubungo? Kamkimbia Mdee Kawe?

Mtamkimbia Mnyika mmoja baada ya mwingine, alianza Nape, kakimbilia Mtama. Sasa ni NURU YA CHAMA kakimbilia Kgm Mjini? Hapo juzi alikuwa na mbwembwe nyingi oooh, nagombewa na Wananchi wa Ubungo, Kawe, Kahama, Shinyanga.....nk Maweeeeeeee kakimbilia Kigoma Mjini baada ya kuvurunda jimbo lake la Awali..!!!

Poleni wanakigoma Mjini ila si Mbaya anakuja mgombea wa UKAWA hapo mpeni ushirikiano.

BACK TANGANYIKA
bavicha bwana mlitaka agombee majimbo yote mtu mmoja ata ivo bd yote ni yake make akiweka wagombea wake watachukua msihof ahad inatimia
 
Zitto kaenda kupambana kwenye jimbo la CCM angeenda kugombea kwenye jimbo la upinzani tungesikia lawama nyingi tu [MENTION=1681]Zitto[/
MENTION] anauwa upinzani.
Wamebadilishana na Serukamba, ulikuwa hulijui hilo?
 
Last edited by a moderator:
Mara uwaite wengine bila kuwa na uhakika na jinsia zao,mara matusi ya kishamba nk nk. Wewe ushaonyesha jukwaa hili sio saizi yako na hao ACT wanakituma uwasemee lazima na wao wana matatizo. Ngoja tuone kama utakuwa na maisha marefu ndani ya Home of GT

Dada tulia upewe ukweli, wewe ni nani hapa JF kiasi cha kuniambia sitakuwa na maisha marefu? Hao viongozi wa CHADOMO wanaokutumia kumchamfua Zitto, wanakutumia vibaya kwani umepoteza network zote...pole sana!
 
Dada tulia upewe ukweli, wewe ni nani hapa JF kiasi cha kuniambia sitakuwa na maisha marefu? Hao viongozi wa CHADOMO wanaokutumia kumchamfua Zitto, wanakutumia vibaya kwani umepoteza network zote...pole sana!

Vipost vyako 40 tuu na vimejaa matusi. Hizo ni tabia za watu wasio na elimu. Au huko mwisho wa reli aliyesoma ni CEO Pekee?
Andika hoja na watu watakuheshimu kwa hilo. Kebehi na vijembe vipo JF kunogesha mijadala lakini sio matusi
 
Hapa watu wana akili zao,acha utoto wa facebook na kujiandikisha kwako jana ingawa umebadili ID!!Andika kwa hekima pls na ficha upumbavu wako hapa!

Hauna adabu hata kidogo

Dada sijui umekula kinyesi cha aina gani na sijui unataka nikujibu nini? Wewe mwenye adabu endelea kuwa na adabu halafu niambie ni wanachama wangapi waCHADOMO wasio na tabia za facebook na wenye hekima?
 
Vipost vyako 40 tuu na vimejaa matusi. Hizo ni tabia za watu wasio na elimu. Au huko mwisho wa reli aliyesoma ni CEO Pekee?
Andika hoja na watu watakuheshimu kwa hilo. Kebehi na vijembe vipo JF kunogesha mijadala lakini sio matusi

Usiyekuwa na elimu ni wewe unayetumiwa vibaya na viongozi wa CHADOMO kumchamfua Zitto. Vipost vyako vyote sijaona hata moja ukimtendea haki Zitto zaidi ya kumkejeli halafu wapi umeona tusi, kuitwa dada ndio tusi? Acha ushabiki mavi na acha kutumika vibaya na wanasiasa pimbi wewe!
 
Usiyekuwa na elimu ni wewe unayetumiwa vibaya na viongozi wa CHADOMO kumchamfua Zitto. Vipost vyako vyote sijaona hata moja ukimtendea haki Zitto zaidi ya kumkejeli halafu wapi umeona tusi, kuitwa dada ndio tusi? Acha ushabiki mavi na acha kutumika vibaya na wanasiasa pimbi wewe!

Hebu chunguza asili yako huko Kigoma usije kuwa una kanasaba na wale jamaa wa hifadhi ya Igombe.
Kwaheri!
 
Hebu chunguza asili yako huko Kigoma usije kuwa una kanasaba na wale jamaa wa hifadhi ya Igombe.
Kwaheri!

Sawa dada, na wewe jichunguze vizuri huko nyuma maana viongozi wa CHADOMO wameshakuchakaza vibaya

kwaheri dada Chakaza!
 
ZITO ni kanjanja tu hana lolote,jimbonj kwake kashindwa na hakuna alichofanya zaidi ya kuwaachia ambulece moja hii ni baada ya kuongoza miaka jumi!Kgm mjini kwa sasa karata yake ni udini tu ndo anaueneza ili ashinde ila hana lolote.
 
Usiyekuwa na elimu ni wewe unayetumiwa vibaya na viongozi wa CHADOMO kumchamfua Zitto. Vipost vyako vyote sijaona hata moja ukimtendea haki Zitto zaidi ya kumkejeli halafu wapi umeona tusi, kuitwa dada ndio tusi? Acha ushabiki mavi na acha kutumika vibaya na wanasiasa pimbi wewe!

Watu wa mwisho wa reli wachache sana wenye hekima hasa wale waha halisi,ila hawa waha wa kirundi na kikongo ni tatizo sana hujifanya wajuaji sana sasa ndo hawa humu jf.
 
si alisema 2015 harudi kugombea ubunge bali ataenda kuomba kura za urais
ukiwa mwongo inabidi uwe na kumbukumbu

mara oooh naenda kufundisha chuo kikuu mana ndo kazi naipenda zaidi, yaan huyu zk anatufanya mazezeta
 
Kila la kheri Zitto Kabwe, siamini kama na wewe utaishia kuwa kama shetani anayezeeka kuwa malaika. Kama ilivyo kwa Augustine Lyatonga Mrema humuulizaga Kikwete "au siku hizi unipendi kama zamani?"
Wapi John Cheyo "Mapesa" aliyeishia kuwa kibaraka wa CCM
 
Ngoja nikamshauri akauze nyanya, nadhani soko hilo halina ushindani sana.
 
Alisema hagombei tena kumbe alimaanisha hagombei kwao ila ataangalia sehem nyingine? Sikujua aiseee,basi angeweka sawa hayo mambo mapema.
Kwakweli siasa ni mchezo mchafu.
 
Zitto alikuwa anatingisa kiberiti mara Ubungo mara Kigamboni nadhan alijitafakari sana maana angekuja kuanguka kwa kura ugenini kuliko nyumban kisiasa tena ndo ingekuwa pigo kwake zaidi lakini pia amejitafakari kwamba asingekubalika kirahisi ugenini na kwa yeye pia ingekuwa pigo ndo mana ameamua kutupa karata yake huko huko kigoma. Anajifanya mjanja sana
 
Zitto hakujiondoa chadema, Zitto alifukutwa Chadema.
 
Back
Top Bottom