ataingia kwa nguvu zote ikiwezekana hata kwa ushirikina dhidi ya wapinzani wake
Angechukua unapotaka wewe ungekuja na wimbo mpya wa kuwa anatumwa na ccm akauwe upinzani, nyinyi bavicha sijui vichwani kwenu kumejaa grisi au makamasi
hizi ni stress za kupotteza jembe chadema!Hahahahahahh.....
Kamkimbia Mnyika Ubungo? Kamkimbia Mdee Kawe?
Mtamkimbia Mnyika mmoja baada ya mwingine, alianza Nape, kakimbilia Mtama. Sasa ni NURU YA CHAMA kakimbilia Kgm Mjini? Hapo juzi alikuwa na mbwembwe nyingi oooh, nagombewa na Wananchi wa Ubungo, Kawe, Kahama, Shinyanga.....nk Maweeeeeeee kakimbilia Kigoma Mjini baada ya kuvurunda jimbo lake la Awali..!!!
Poleni wanakigoma Mjini ila si Mbaya anakuja mgombea wa UKAWA hapo mpeni ushirikiano.
BACK TANGANYIKA
hizi ni stress za kupotteza jembe chadema!
Angetangaza kugombea jimbo lolote povu lingekutoka tuu!
Tulia mzlendo ajenge nchi, unaweza unamchukia sana zito ila ukweli unabaki zzk ni jembe kama unabisha acha kusoma hii comment!
Na kufukuzwa kwake kulitokana na ulafi, usaliti na umimi (ubinafsi) aidha alisema hatagombea sehemu yoyote yeye ni kujenga chama tu.Zito hakujitoa alifukuzwa usipotoshe watu
Teh teh teh teh.....
Maneno ya akiba? Ninayo mengi mkuu mengi sana.. Na ndiomaana ninachokiandika hapa ni tofauti na nilichokiandika hapo mwanzo tulipokutana na wewe somewhere..!! Kama unabisha weka ushahidi hapa wa kufanana kwa naneno yangu na ya hapo mwanzo ambayo hata hivyo ulikosa majibu na kutokomea kusikojilikana..!!
Mkuu wangu Ritz, Chochote anachokifanya Zitto mimi ninakifurahia na ndiomaana unaona hapo mwanzo (ktk post uliyoninukuu) nimeanza kwa kucheka..!! Hivi ulitaka kuiona faraha gani nyingine toka kwangu zaidi ya hiyo?
Halafu Mkuu hukumsikia Zitto akisema Anagombewa na Wananchi wa Ubungo, Kawe, Shinyanga, Kahama na kwingineko?
Labda hasira zangu hapo ziko wapi mpaka unitake nifurahi kwa kile atakachokifanya Zitto?
BACK TANGANYIKA
Sasa we Pakacha unaninukuu halafu unasema acha kusoma hii Comment...!!!!!!!
Kweli takataka za Lumumba ni zaidi ya Msiba!
Hivi ni mimi niliyemtuma kusema anagombewa na wananchi wa maeneo hayo? Mimi nilifikiri mnakuja hapa na kusema namsingizia kwamba hakusema maneno hayo badala yake unaniambia hizi ni Stress za kukosa Mipini sijui...!!!!? Hivi nyie watu akili zenu mmeweka kwenye unyayo?
Pakachueni kwanza Akili kabla hamjapakachua vinywa vyenu Ebooooo.!!
BACK TANGANYIKA
Werema anafundisha school of laws?na ukilaza wote ule?Werema alimkaribisha kwenda kufundisha akakimbia..Werema sasa hivi anafundisha School of Law Tanzania.Jamaa mwongo sana huyu
Nani kwenye CCM na ACT wa kumtoa Mnyika Ubungo?
Werema anafundisha school of laws?na ukilaza wote ule?
October mtakuja hapa kulalamika kuwa Usalama wa Taifa wameiba kura za Mnyika.