Kama umeamua kuoa wewe oa Tu, Kila mmoja ana chungu na tamu zake za ndoa, mara nyingi huwa hatufanani na hutegemea na mke uliyempata alivyo, elimu Yake, alipotoka, mazingira aliyolelewa na kukutana nayo ukubwani,dini Yake na vitu vingine vingi vinavyohusiana na mtazamo wake kuhusu maisha...Hivyo basi cha msingi ni kuoa mtu unaeendana nae Kwa vitu kadhaa vingine inabidi mvumiliane, je wewe unataka mke wa Aina gani?, je wewe ni Liberal au Pure conservative au ni mixed?