Zipi nyimbo nzuri za Banana Zoro?

Zipi nyimbo nzuri za Banana Zoro?

Banana Zorro ni noma

Zoba
Nzela
nazipenda mpaka basi
 
kuna kipande cha nyimbo ya banana anaimba ' ayee moyo waangu ungelikuwa ni kioo ungeshavunjika zamani, ingelikuwa ni gari ungeshagongwa na treni, lakini ni hai sababu bado nakupenda'
naombeni mwenye kuujua anambie ni wimbo gani ili niudownload!!!
 
Aisee kuna ngoma moja ya Banana Zorro ni RnB flani hivi inapigwa sana radio stations nyigi hapa nchini. Naombeni kujua jina la wimbo ule na kama kuna mtu ana link yake aisaidie pia.
 
Kuna ile albam ya B love M ilikuwa kali sana na ndani yake kulikuwa na wimbo wa nimekuchagua wewe ambao Banana alishirikiana na Bob Ludala. Mle ndio kuna vibao kama Pole wangu rafiki ba nyinginezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom