WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
ama kweli! atajuta kuuliza..lolz
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
sifa za mwanaume anayestahili kuoa ni zipi?wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa.
Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"
1. Awe na Matege
2. Kitambi kiduchu
3. Anyoe Kipara
4. Awe anakojoa kitandani
5. Awe anaoga japo mara tatu kwa wiki
6. Awe na ushujaa wa kuachia ushuzi hadharani.
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
Labda mimi nikutajie NUSU (one over two) ya Tabia za HUSNINYO kisha utachanganyua mwenyewe kwamba zina mashiko ama laa,
A. Husny ni Mzuri, Mrembo, ni mwenye mvuto in general .
B. Husny tangu nimfahamu akiwa O level sijawahi kusikia amegombana na mtu (kwa hili Mods ni witness)
C . Husny ni Mpole, Mtaratibu, ana Hekima, Busara, Hasira ndiyo kabisaa hajui, ila mkali kidogo ukimuudhi , lakini mwepesi sana wa kusamehe.
D. Husny ni Mcheshi, si mgumu kumzoe, si wa kununanuna , hana kiburi, anajua kujali, si Mchoyo, ni Mkarimu.
E . Anayajua Mapenzi.
Hizo ni NUSU tu ya sifa zake.
Je? Unazionaje ? Zinafaa ?
1-Awe mzuri
2-Awe mfata dini ya ki islam, sababu hakuna dini inayo kubaliwa zaidi ya uislam mbele ya mungu.
3-Awe katoka katika ukoo mzuri.
4-Awe kakupenda kwa dhati sio ile nakupenda tu kwa mdomo :cool2:
1) Akiomba sh 113,000/= na ukampa na ukaona akilamba kidole na kuanza kuzihesabu mbele yako, huyo hafai kumuoa
2) Akiwa muongeaji sana mbele za watu kuliko wewe, huyo mkimbie
3) Akiwa anagundua uongo wako kwa asilimia 85 na kukueleza bila kificho (bila kumezea) mbele ya kadamnasi au mkiwa wawili huyo ndo haswah! Mkimbie mbali maana ana akili za kiume, ni hatari kwa afya na uhai wako.
Ukisoma kwa juu juu utazani porojo ila ukitafakari na kuchambua utaona point na kukusaidia kufanya mauzi sahihi.
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
Hapo kwenye red - mh! hivyo Mwanamke anayedanganyika ndio anafaa??? Mwanamke ambaye akili zake haziwezi kupambanua - uongo na ukweli (au mema na mabaya) ndio fit kuolewa??? Fafanua please
1.Awe shangingi.Wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa.
Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"