Hadi sasa akikosa wajukuu huwa anatumiababu ngoja nikuulize swali la kukukasirisha.. Umeshawahi kutumia sabuni kwenye mambo yetu yale?
sijambo baby
Haya maneno ni kujikosha na kumpa kichwa nanii...
hebu uliza wenzako walowahi kupita anga zetu watakuambia Bishanga na Erick wakoje
Huoni The secretary kalainika mwenyewe kwa Bishanga?
1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?
babu @Aspirin me cmrtaki Bishanga, namtaka naniliu yan kila siku nimekuwa nikijipisha pitisha lakini anajidai hanioni mpka nimeamua kuokoka na kumfungia maombi lakini hola... ila mchungaji kanambia kuwa mambo yanaiva..... na ikishindikana namwendea bagamoyo lol ananiumiza moyo yan hata saiv napost but nipo church mchungaji anawaombea wengine... nakesha kweli ili nimpate!!!!!!
afu babu hii picha ulpata wapi, kumbe we ndo uliiibia nkadhani nilivoachana na nanilii aliichukuwa kumbe we ndo ulipita nayo..... babu duh nimekunyooshe amiguu
Babu hujanipatia wajukuu wangu nilokuombaWe ni mjukuu mwema. Wengine wananinyooshea mikono we umeamua kunipanulia, sore, kuninyooshea miguu. I will marry u babe... Will you?
Amyner hajakimbia ila kapumzika JF coz anaona mnampa pressure tu kunimendea...kasema bora asijue km anaibiwa
Anaitwaje.... Sema fasta nifanye mtambiko.
Lol
Umerukaruka hatimaye umenasa kwa bepari la kihaya
Asprin uko juu..mzee wa ODM noumer!!
Nakuja mpenziErick njoo fasta ushakabidhiwa. Nakungojea na nguo zangu kwenye rambo, baridi ujue mwenzio!
Aliniona nafaa ukinilinganisha na wajukuu wengine