Hehehehee nangoja kuona jibu lolEti odm ulishawahi kupita ule mlango wa dharura? Sijui kwa kiswahili unaitwaje...
huna lolote imebumba iyo
Nakuja mpenzi
Nimechoka kurukaruka kwa manung'ayembe akina BADILI TABIA na Erotica na wenzao
Nahitaji pumziko la kweli King'asti
Asante Asprin
Hehe
Mi sio wa kuachwa..alikasirikaga tu then akawa mpole...kamua kuniacha nijiachie kidogo...siunajua tena kupendwa raha...
Mungu wangu. Mimi ni mshabiki mkubwa wa huyu babu. Amefanya nini naona yuko banned. Hii thread haina mashiko tena.
Kaunga ni vyema Babu Asprin aje ajibu hili swali kabla ya kufunga kipindi!Interview imeisha?
I guess l am late, ila babu ASA if u r so kind to answer my one n only question nitafurahi.
Je ukiwa unacome huwa unafanya nini? Unapiga kelele, unamvuta nywele mwenzi wako, unakunja sura (nikiimagine sura yako ikikunjwa) au unakenua!
Shhhh! Sasa taratibu manake PAW akiamka usingizini atakupiga mkuki wa kalio! Shauri yako, aliwekeza ng'ombe 300 hapa wa kienyeji. Twenzetu ili babu afunguke.
Interview imeisha?
I guess l am late, ila babu ASA if u r so kind to answer my one n only question nitafurahi.
Je ukiwa unacome huwa unafanya nini? Unapiga kelele, unamvuta nywele mwenzi wako, unakunja sura (nikiimagine sura yako ikikunjwa) au unakenua!
Mbona kauli yako ni kinyume na yalotokea?Babu kapigwa ban...ujue inaniuma sana.. Kaizer na Bishanga nawaomba huku mara moja tuongee kuhusu mkubwa wetu Asprin atakavyorudi..na nani kamsababishia ban!Nilikuwa bize namoderate meseji za maswali ya wana JFUlitupiwa maswali mengi sana na yasiyofaa kuweka hadharani, labda tu jukwaala wakubwa hivyo nilikuwa bize nikiyachuja ili kipindi cha talk showkisije kikapigwa BAN na Invisible