Zinduna Talk Show: Leo mjengoni nipo na ODM Babu Asprin~~~!

Zinduna

JF-Expert Member
Nov 6, 2011
2,378
3,379
avatar9760_29.gif

Mzee ODM Asprin

Ni matumanini yangu ndugu zangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kutafuta fedha kama kawaida.

Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Swadakta kabisa, haya ndugu zanguni leo sina maneno mengi bali namkaribisha sana Babu Asprin na maswali yangu yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.

Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Asprin swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.

Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Mzee Asprin:

1. Je ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
10. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?

15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….

Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu ODM Asprin atakuja kuyajibu maswali yenu.

Karibuni sana
 
Ahsante ndugu maulid kitenge....ooops ndugu zinduna kwa kunipa fursa hii.
Vijiswali kwa ndugu asprin:
1. Ushawahi kuhonga mwanamke gari au nyumba au na wewe ni wale wale asiowataka Smile?
2. Una ubia na bar ya fyatanga?
3.humu jf ushawahi kulamba dem kiukweliukweli na si masikhara ya jf?
4.nikikupa namba ya simu ya Kongosho utanilipa nini?
 
Last edited by a moderator:
avatar9760_29.gif

Mzee ODM Asprin
Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ili kuonyesha nilivyo muadilifu, naitikia wito wako wa salamu...

Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Niko Gado kujibu maswali yenu yote kwa ufasaha......
mzee.jpg



Ila Zinduna nakusihi kwenye haya mahojiano naomba ukae mkao wa heshima nisijeleta matatizo hapa studio.

attachment.php
 
Ili kuonyesha nilivyo muadilifu, naitikia wito wako wa salamu...

Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ila Zinduna nakusihi kwenye haya mahojiano naomba ukae mkao wa heshima nisijeleta matatizo hapa studio.

attachment.php
Asprin bana,kumbe na wewe unafahamiana na zinduna,hii picha ni ya zamani kidogo lakini,siku hizi kazeeka choka mbaya,unamfahamu bi kidude? Well well she almost looks like her.
 
Last edited by a moderator:
1. Je Msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
Swali halijaeleweka, waweza sema ulimaanisha nini?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
Sana tu, tena mi ndo nlikuwa nashika nafasi ya ubaba. Housegirl wetu alikuwa ananikomaje?
attachment.php

3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
Nina mke na mabinti wawili wazuri kama mama yao. Hawa lazima waolewe na watu wenye hela zao na ni lazima wawe mahandsome. Vinginevyo ntawaoa mwenyewe

4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?
Hili si swali, mpaka sasa kina cacico, Yummy na BADILI TABIA wakinipiga kibuti, lazima nirudishe heshima kwa Revola. Uzuri wa sabuni, haijui kupiga mzinga, haina wivu na haihitaji kutumia kondom kwakuwa haina gono, kaswende wala ngoma.

5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?
Jana tu nlikuwa mitaa ya Ohio.
attachment.php



6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
Sana tu. Kahaba hakupi mzigo bila kutoa fedha wakati home napewa bure. Utafiti umeonyesha kuwa penzi linalohusishwa na feza linakuwa tamu mara mbili ya penzi la bure. Nshaongea na wife ili niachane na makahaba basi awe ananipiga mzinga kabla hajapanua paja.
7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
Mara tatu, mara ya mwisho sikujua kama cacico ni mke wa mtu.
attachment.php


 
Last edited by a moderator:
8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
Yeah Erotica nlijua ana mimba yangu, mpaka alipokana hadharani kuwa si yangu akamuuzia Kaizer. Kaizer alipomtolea nje akarudi kwangu akidai mimba ni yangu na mtoto aliye tumboni anafanana na mimi mpaka kucha.

attachment.php


9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa?
Sina asee, nlimwomba gfsonwin anizalie akakataa. Unaweza kunisaidia niwekamo katoto kwa tumbo lako?

10.Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
Mkono sweta wangu ulitolewa zamaaani sana. Sina kumbukumbu kwakuwa wakati wanautoa nlikuwa bado nna akili kama za Lusinde
11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
Nlipomgonga jamaa maeneo ya Victoria akapaa hewani na kurudi juu ya paa la kibajaji changu.

12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana

Nilipogundua jamaa nliyemgonga hajaRIP. Naogopa sana kumsaidia ziraili mtoa roho.
 
Last edited by a moderator:
13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
Huyu Erickb52 bana, ana mchezo mbaya wa kuwamendea wajukuu zangu.

mwizi.JPG


14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
Kumshabikia Rais wetu alipoteuliwa na chama cha Magamba kwa mara ya kwanza kugombea urais.
Kiongozi wangu huyu ni bone la msomi.

attachment.php


15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
Kidumu na kiwe kigumu kama chama cha magamba..... Naomba kupumzika kidogo hangover inaniua

11sih6a.jpg
 
Ahsante ndugu maulid kitenge....ooops ndugu zinduna kwa kunipa fursa hii.
Vijiswali kwa ndugu asprin:
1. Ushawahi kuhonga mwanamke gari au nyumba au na wewe ni wale wale asiowataka Smile?
2. Una ubia na bar ya fyatanga?
3.humu jf ushawahi kulamba dem kiukweliukweli na si masikhara ya jf?
4.nikikupa namba ya simu ya Kongosho utanilipa nini?
1. Mie nahongwa, sijui kuhonga.
2. Ubia wangu na Fyatanga uko kwenye ajira. Mie ndio afisa mwajiri wa mabaamedi wa pale. Intavyuu nafanyia gesti.
3. JF nshalamba mabinti sita. Kama wako huru niwataje waniPM
4.Ukinipa namba ya Kongosho, wallahi ntakuzawadia mmoja wa wajukuu zangu charminglady atakufaa?

black+pop.jpg
 
Last edited by a moderator:
ulishawai kubaka???
kugombania mwanamke in ur life?
ni kitu gani uliwai kufanya na kuokoa life ya mtu au watu...ambacho kinakufanya ujisikie fahari sana ukikumbuka?
any regrets in ur life??? and why??
unapendelea nini(hobbies)
 
ulishawai kubaka???
kugombania mwanamke in ur life?
ni kitu gani uliwai kufanya na kuokoa life ya mtu au watu...ambacho kinakufanya ujisikie fahari sana ukikumbuka?
any regrets in ur life??? and why??
unapendelea nini(hobbies)
Enzi za utoto nlishawahi kubaka mbuzi na kuku....
Kitu cha kuokoa maisha? Oh Yes nlipomuoa mai waifu manake alinambia hawezi kuishi bila ya mimi. Inamaana nisingemuoa angekuwa ameshaRIP.
Regrets? Moja tu...my ex gelofrend wangu alipopata ujauzito nikamshauri akaitoe..... Maskini kizazi kikaharibika mpaka leo mtoto anamsikia kwenye bomba. Sijui kama mme wake ameambiwa hiyo habari au anapampu tu akitegemea atapata mtoto siku moja......
Hobbies?? Hivi uzee una hobby? Penda sana angalia sinema mimi, soma novels, Cheza basketball na volleyball. Ofkozi na kupiga ulabu mwiiiiiingi!!

Haya ukiwaona kina TANMO na platozoom waambie maswali yao ya uchokozi siyataki.
 
Last edited by a moderator:
Nina maswali machache kwa ODM:

1. Je ulishawahi kuvuta Bhange?
2. Je ukipewa nafasi ya kutoa maamuzi, utahalalisha Bhange?
3. Je ulishwahi kupiga puli?
4. Je mitungi uliianza ukiwa na umri gani?
5. Je ulishawahi kukalala katoto anda eji?

..................nitarejea
 
Unapokagua wajukuu huwa unawakagua nini?vigezo vyako nini kwenye ukaguzi wako?na huwa unajisikiaje unapowakagua?ushauri gani huwa unawapa baada ya kuwakagua?huwa unatoa muhuri baada ya kuwakagua?
 
Back
Top Bottom