Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Mzee ODM Asprin
Ni matumanini yangu ndugu zangu wapendwa wote hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu za kutafuta fedha kama kawaida.
Leo hii nipo na Babu yetu kipenzi ambaye pamoja na umri kusonga mbele lakini bado anaendela kunyemelea vibinti humu JF kimya kimya, naye si mwingine niiiiii ODM Babu Asprin..........
Wote semeni Yeeeeeeeah!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Swadakta kabisa, haya ndugu zanguni leo sina maneno mengi bali namkaribisha sana Babu Asprin na maswali yangu yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.
Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Mzee Asprin swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.
Kwa kuanza ninayo maswali kumi na tano ambayo ningependa kumuuliza Mzee Asprin:
1. Je ulizaliwa msimu gani, wa kipupwe au kiangazi?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na ule wa kujificha utotoni?
3. Je umeoa? Kama umeoa, Je una watoto wangapi?
4. Je umeshawahi kupiga puchu ujanani?5. Je umewahi kupitisha usiku na kahaba?6. Je ulipojivinjari na kahaba uliona tofauti yoyote na unachokipata kutoka kwa Mke/Mpenzi wako?
7. Je umeshawahi kufumaniwa na mke wa mtu?
8. Je umeshawahi kumpa mimba mwanamke na ukakata kumuoa?
9. Je una watoto wangapi wa nje ya ndoa? 10. Je umetahiriwa, kama umetahiriwa, ulitahiriwa ukiwa na umri gani, na je ulitahiriwa kwa ganzi au kavu kavu kama wamasai?
11. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
12. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
13. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mimi hapa Zinduna, ungependa tumsengenye nani?
14. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
15. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Mzee wetu ODM Asprin atakuja kuyajibu maswali yenu.
Karibuni sana