Zinaa ni chanzo cha umasikini, vijana acheni zinaa

Zinaa ni chanzo cha umasikini, vijana acheni zinaa

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Vijana zinaa inaleta umasikini just imagine kijana unafanya kazi za saidia fundi,viwandani, mlinzi pesa unazipata kwa shida then unakuja kutoka na demu kwa siku 50K - 100K inakatika, room 30K
Msosi 20K

Nauli 5K

Asante kwa kuja 30K

Hapo kunakutoboa miaka nenda rudi hakuna maendeleo.

Kwanini usioe tu ukawa unaichapa utakavyoo adi uichoke.
NB: usiendekeze sketi sana.

Unatoa ela unapewa mbususu una akili timamu yaani hela ulioipata kwa shida kwa siku nzima unaipoteza just for 5minutes really?
 
😁😁

Im pretty sure, ndio umetoka kumchapa demu hapo sinza ila haujaridhika na huduma na umeishaipa hela, sasa hivi baada ya kumwaga ndio unaanza kujilaumu kwanini unapoteza pesa.
Mimi sio wa sinza tqkataka hizo chafuchafu nimeoa mtoto wakimakonde wala sina shida huduma zote napata hata bila kuomba
 
Ukishakojoa ndo unaanza kujilaumu sasa!, waweza tamani umeze panadol kupunguza maumivu ya kupoteza pesa kizembe.
 
Vijana zinaa inaleta umasikini just imagine kijana unafanya kazi za saidia fundi,viwandani, mlinzi pesa unazipata kwa shida then unakuja kutoka na demu kwa siku 50K - 100K inakatika, room 30K
Msosi 20K

Nauli 5K

Asante kwa kuja 30K

Hapo kunakutoboa miaka nenda rudi hakuna maendeleo.

Kwanini usioe tu ukawa unaichapa utakavyoo adi uichoke.
NB: usiendekeze sketi sana.

Unatoa ela unapewa mbususu una akili timamu yaani hela ulioipata kwa shida kwa siku nzima unaipoteza just for 5minutes really??
Mkuu ungekujua tuliooa tunavyoteswa ndani kuhusu kupewa tendo la ndoa.....mf mimi my wife now ni almost 1 month sijala mzigo...it means kukosa kuwa na kicheche nje nisingetoboa.....
 
Back
Top Bottom