Zinaa huleta ufukara

Zinaa huleta ufukara

Kwa mabaharia bajeti IPO chini zaidi!
Location ghetto kwahiyo hakuna hiyo 20000tsh ya best
Nauli 2000tsh
Msosi buku 3000tsh
Posho hakuna
Kwahiyo hapo kuna save ya 62000tsh
Zinaa huleta uufukara

Nimeamini.....

Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.

Hebu mfano tu.

nauli ya demu 5,000/= au zaidi.

Gesti 20,000/" au zaidi

Kondom pakti mbili 2,000/=

Posho ya demu 20,000/=

Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=

Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.

Jamani.
TUACHE ZINAA.
 
Zinaa huleta uufukara

Nimeamini.....

Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.

Hebu mfano tu.

nauli ya demu 5,000/= au zaidi.

Gesti 20,000/" au zaidi

Kondom pakti mbili 2,000/=

Posho ya demu 20,000/=

Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=

Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.

Jamani.
TUACHE ZINAA.
Daa acha kabisa tatizo genye zikipanda hazina m' babe hapa napiga mahesabu ya kutoroka ofisini nikadinye kwanza akili ikae sawa. Dem mwenyewe nimemzungusha sana ngoja nikampe haki yake.
 
Unakuta mtu kafanya kazi nzito ya zege pesa anazifungia kwenye zip!! Ni uuuungwana??
 
Ukweli . Tatizo la zinaa linaenda mihemuko ya mwili. Ukiweza kuikontrol hali hiyo utaiepuka zinaa. Lakini kama huwezi kuutawala mwili utaingia mkenge tu. Kwani hao kina dada nao wana mitego yao.
 
Kwahiyo unatushauri tuwe tunatumia kiasi gani kwa mwanamke mmoja? Na je tuwe tunaishia wanawake wangapi ili kulinda kipato chetu...
 
Kuna watu zinaa kwao ni kama wanakula wali, lakini wana Pesa hatari
 
Hili suala tunalichukulia powa lakini Ndugu zanguni swala la Zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta Umaskini Sana.
Hebu mfano tu.
Nauli ya demu 5,000/= au zaidi.
Gesti 20,000/" au zaidi
Kondom pakti mbili 2,000/=
Posho ya demu 20,000/=
Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/= Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara Mademu 10 au nakuendelea.

Bado kuna wale naomba Vocha au ninunulie Umeme.

Amka ndugu yangu..
Linda kipato chako kwa matumizi yamsingi..
Siku zote Mchepuko haunaga fadhila.. Acha kujiletea stress maisha ukayaona Magumu kumbe unajibebesha mizigo isiyokuhusu.
Mkuu eti posho ya mchepuko 20,000/=!
Danga hukupimia ulivyoshoboka.

Akikuona presha yako ipo juu, mkiingia 'gest' atakutwanga na swali simple lakini ni la direct: 'mzee mbona unaongea sana, kwanza umeniandalia kiasi hani?'

Wewe mwenyewe huku ukijichekeleza unaingia mnadani kujipangia bei.

Ukisema: 'me nna 20', atakwambia: 'ishirini hela gani ya nyanya hiyo?'

Mamamamama! Kaua, ndiyo hapo utaanza kujifirisi mwenyewe huku ukitetemeka kwa uchu kama wa mbwa aonapo nyama.

Labda hela hiyo usiwe nayo mfukoni kweli, lakini kama unayo na umeificha, utafichua huku udenda wa tamaa ya uasherati ukikuchuruzika kama maji ya bomba.
 
Back
Top Bottom