Zinaa huleta ufukara

Zinaa huleta ufukara

Behind the camera

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
315
Reaction score
757
Zinaa huleta uufukara

Nimeamini.....

Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.

Hebu mfano tu.

nauli ya demu 5,000/= au zaidi.

Gesti 20,000/" au zaidi

Kondom pakti mbili 2,000/=

Posho ya demu 20,000/=

Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=

Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.

Jamani.
TUACHE ZINAA.
 
Na maradhi usisahau japo watumia ndom kunyonyana vikojoleo
Zinaa huleta uufukara

Nimeamini.....

Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.

Hebu mfano tu.

nauli ya demu 5,000/= au zaidi.

Gesti 20,000/" au zaidi

Kondom pakti mbili 2,000/=

Posho ya demu 20,000/=

Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=

Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.

Jamani.
TUACHE ZINAA.
 
halafu ile raha ya dkk 2 ni tamu kuliko pesa uliotoa
 
Hiyo elfu20 mi ndio budget yangu. Mtaani kwetu guest elfu7 hadi 8 ikizidi sana 10 (self). Sijawahi kumpa demu zaidi ya elfu10(pia itategemea na show aliyoitoa), akizingua hata buku5 anakula na buku1 ya nauli. Demu akiagiza msosi anakula posho yake mwenyewe . Demu mi huwa nakutana nae guest direct na muda wangu ni kuanzia saa 11 jion. Hiyo pesa nahakikisha inatoka kwenye dili tu za nje ya mshahara. Tena isiwe imepatikana hiyo elfu20 tu.
Zinaa huleta uufukara

Nimeamini.....

Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.

Hebu mfano tu.

nauli ya demu 5,000/= au zaidi.

Gesti 20,000/" au zaidi

Kondom pakti mbili 2,000/=

Posho ya demu 20,000/=

Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=

Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.

Jamani.
TUACHE ZINAA.
 
Vipi kama demu yeye ndiyo anamaliza kila kitu,kazi yangu nikutoa gegedo pekee.
 
Back
Top Bottom