Nimesikitika sana
Same same 😁
Nimesikitika sana
Sijawahi kumuona mkuu
Ungenijibu tu furaha inaonekanaje kwa hivyo viumbe...nguruwe? Kuku?
Big UongoMambo wanajamvi?
Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia wewe.Mfano unaposhirikiana na mtu wawezapata mabalaa au mambo Yako yanaweza yasiende tofauti na kabla hujajihusisha na mtu huyo.Hivi kiimani hii ikoje Kuna uthibitisho wa yeyote katika maandiko alipata mabalaa kwa kujihusisha kimahusiano na mwingine au ni kutishana ili kudhibiti mienendo ya watu🎤🎤🎧
Ohooo ni hatareee ila zinaa ushetani mtupu tubaki njia kuuNgoja apuyange aungwe kwenye grid ya taifa ndo atajua dunia kumbe haiko fair
Kama kwa binadamu tu ni ngumu kuipima furaha, kwa wanyama itakua rahisi kweli?
Njia unazojua ww ni kwa 0.01% ngono uzinzi ni 99%Kuna njia zingine za kupata ukimwi
Uzinzi haupotezi huo ugonjwa
Njia unazojua ww ni kwa 0.01% ngono uzinzi ni 99%
Na ndo mana wenzetu wazungu hukuti wapo na michepuko kama huku africaKuna njia zingine za kupata ukimwi
Uzinzi haupotezi huo ugonjwa
YesNO,
muafrika ni bingwa wa mambo ya kufikirika.
Balaa pekee la zinaa ni magonjwa, kufirisika kama unahonga sana na kuharibu mahusiano kama unafanya ufuska
Haya manuksi mnayoyaongelea yapo tu afrika tena kwa kaya masikini na yanahimizwa ili kuwachanganya ili mpigwe pesa na mashehe wa kusoma visomo na waganga wa kuku mweusi
Iyo ilikuwa zamani sana uwezi kuta ujinga huo sasaiv labda uwe na bifu na huyo doctor au upate kwa kuchangia mswaki au viwembe hakuna ishuu izo pale kati patamu ndo source ya matatizo mengi sana hapa dunianiKama kuongezewa damu ya mwenye HIV nayo ni 0.01% 😁😁
Basi sawa
😄😄😄🤟 Umemaliza...Ukipata waya, hakuna rangi utaacha kuona! 😊