Huku kwetu... linaomba toothpick lisha maliza
Hii ya kuomba toothpick nimeipenda.wakiisoma watajinyonga kwa big G
Huku kwetu... linaomba toothpick lisha maliza
Zimwi halijawamaliza tu!
Zimwi halifugiki, labda mwenye kulitunza aokoke!
Mbaya zaidi linaanza kula kichwa.....
Kama walishauriwa walimalize wakawa na huruma imekula kwao
Hivi unadhani waliosema kuwa 'Ningejua huja baada ya kukosea' walikuwa wajinga? Wamelikoroga wenyewe wacha walinywe
Kama walishauriwa walimalize wakawa na huruma imekula kwao
Huruma inaponza sana wewe unaambiwa liue hilo litakuletea madhara wewe unaingiwa na roho ya imani na hayo ndiyo madhara yake! Wacha liwamalize watajiju!
Cha ajab hil zimwi linakula mpaka linamaliza...wakat...zimwi likujualo halikuli likakwisha hil cjui zimw la wap halibakish hata mfupa???
Hahaaaaa