Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Mliokaribu nalo likimbieni lisije kwenu baada ya kuwamaliza waliolifuga.
 
Njia pekee ni kuhama nyumba, kisha mnapachoma hapo nakwenda kuanza maisha mapya, ni aheri mkabaki wachache bila zimwi kuliko kuwa wengi huku zimwi likiwatafuna...
 
Njia pekee ni kuhama nyumba, kisha mnapachoma hapo nakwenda kuanza maisha mapya, ni aheri mkabaki wachache bila zimwi kuliko kuwa wengi huku zimwi likiwatafuna...

....ushauri mzuri sana !!!
 
Mfugaji amefikia hatua hapati hata watu wa kumsaidia kuiba kura, kwahiyo ameamua kuvuruga uchaguzi
 
Hivi unadhani waliosema kuwa 'Ningejua huja baada ya kukosea' walikuwa wajinga? Wamelikoroga wenyewe wacha walinywe

.....walizani wanafuga mjusi kumbe CHATU wacha walinywe !!!
 
Back
Top Bottom