Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Tulianza na mungu ,tuko na mungu ,tutamaliza na mungu ,bye bye zimwi
 
Mambo yameenda mrama uchaguzi serikali za mitaa nini? Nadhani zimwi hapa ni RUSHWA, natamani kusikia limewala wafugaji wote
 

Attachments

  • attachment-8.jpeg
    attachment-8.jpeg
    9.3 KB · Views: 680
  • attachment-1.jpeg
    attachment-1.jpeg
    10.8 KB · Views: 678
lile zimwi linalofugwa kwa kulishwa maziwa na asali limeanza kuwatafuna waliolifuga habari zilizo tufikia hivi punde wafugaji wa zimwi hilo wanajuta kwanini walilifuga.

Jitihada za kuwaokoa wafugaji wa zimwi hilo zimeshindikana kwa kuwa chumba wanachoishi wafugaji hao wa zimwi ndo zimwi hilo linapoishi.

Mfugaji moja alisikika akisema tulimwambia mkuu wetu tuliuwe mapema kabla halija leta madhara lakini hakunisikiliza

...tukutane jioni saa 12 kwa taarifa zaidi.

ngoja liue mpaka kieleweke. Halafu mazimu hayo ni mawili--zimwi la mcc na lile la world bank--watakomaje pambaf zao!
 
si mseme tu kwamba mheshimiwa kikwete kafanya mabadiliko katika serikali yake. Mafumbo hayasaidii kitu. Hizi ni zama za uwazi. mnatupotezea muda bure.
 
Lile zimwi linalofugwa kwa kulishwa maziwa na asali limeanza kuwatafuna waliolifuga habari zilizo tufikia hivi punde wafugaji wa zimwi hilo wanajuta kwanini walilifuga.

Jitihada za kuwaokoa wafugaji wa zimwi hilo zimeshindikana kwa kuwa chumba wanachoishi wafugaji hao wa zimwi ndo zimwi hilo linapoishi.

Mfugaji moja alisikika akisema tulimwambia Mkuu wetu tuliuwe mapema kabla halija leta madhara lakini hakunisikiliza

...tukutane jioni saa 12 kwa taarifa zaidi.
Zimwi halifugiki, labda mwenye kulitunza aokoke!
 
Back
Top Bottom