Dua,
Unajua nyie vijana wa siku hizi mna dream za ajabu ajabu!...Sasa hicho kizazi Kipya kinakuja na nini? kuwa asubuhi saa moja kunasaidia nini kama huna kazi?...real change na real freedom itakujaje ikiwa ardhi ipo chini ya mkoloni uliyepigana naye kwa miaka!
I mean mnalaumu tuuu kila siku wakati solution ya matatizo hamna na kila mnachozungumza ni maneno ya mzungu sio kutoka kichwani mwenu, ndio maana hamna ushahidi wowote zaidi ya ule wa mzungu.
Mugabe aondoke hilo sii tatizo wote tunaopmba hivyo, lakini nambie nani aje mwenye sifa kama ulizozitaja -huyo kizazi kipya nani?, Sio kusema tuu hali huna kiongozi mwingine mkononi. Nchi bila kiongozi ni sawa na Somalia bila Maj. Gen. Mohamed Siad Barre....au Iraq bila Saadam. Kuna viongozi madikteta lakini ndio pekee wanaoweza kupambana na watu wake..Mugabe ni mmojawapo.
Unajua nyie vijana wa siku hizi mna dream za ajabu ajabu!...Sasa hicho kizazi Kipya kinakuja na nini? kuwa asubuhi saa moja kunasaidia nini kama huna kazi?...real change na real freedom itakujaje ikiwa ardhi ipo chini ya mkoloni uliyepigana naye kwa miaka!
I mean mnalaumu tuuu kila siku wakati solution ya matatizo hamna na kila mnachozungumza ni maneno ya mzungu sio kutoka kichwani mwenu, ndio maana hamna ushahidi wowote zaidi ya ule wa mzungu.
Mugabe aondoke hilo sii tatizo wote tunaopmba hivyo, lakini nambie nani aje mwenye sifa kama ulizozitaja -huyo kizazi kipya nani?, Sio kusema tuu hali huna kiongozi mwingine mkononi. Nchi bila kiongozi ni sawa na Somalia bila Maj. Gen. Mohamed Siad Barre....au Iraq bila Saadam. Kuna viongozi madikteta lakini ndio pekee wanaoweza kupambana na watu wake..Mugabe ni mmojawapo.