Zimbabwe Kujenga Interchange Road ya Kwanza Jijini Harare

Jerlamarel

JF-Expert Member
Sep 14, 2021
843
2,517
Serikali ya Zimbabwe imepata dola milioni 85 kujenga barabara yake ya kwanza ya ubadilishanaji (Interchange Road), Mbudzi Interchange Road jijini Harare.​
Serikali ilitangaza mipango na usanifu uko katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza ndani ya muda mfupi.​

Mbudzi Interchange Road in Harare..jpg
Africa Facts Zone.JPG
Viongozi wetu kaeni mkao mzuri muangalie namna wenzenu wanavyotengeneza vitu tangible vya kuishi miaka na miaka sio hivi vidaraja mlivyotujengea hapo jiji la joto.​
 
Serikali ya Zimbabwe imepata dola milioni 85 kujenga barabara yake ya kwanza ya ubadilishanaji (Interchange Road), Mbudzi Interchange Road jijini Harare.​
Serikali ilitangaza mipango na usanifu uko katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza ndani ya muda mfupi.​

Viongozi wetu kaeni mkao mzuri muangalie namna wenzenu wanavyotengeneza vitu tangible vya kuishi miaka na miaka sio hivi vidaraja mlivyotujengea hapo jiji la joto.​
Hii render ya hii interchange imeshatumiwa na nchi kibao ikiwemo Ethiopia na Kenya, leo tena naskia toka kwako kwamba Zimbabwe nao wanatumia hii render, chamsingi tu nakushauri ewe muanzisha uzi urizike na ulichonacho na co kelele za waafrika mitandaoni, kama unavyoona Zimbabwe ndiyo kwanza wanataka kujenga interchange ya kwanza ila wewe nchini mwako tayari unazo, so kwanza Rizika.
Screenshot_20211017-160717.jpg
Screenshot_20211017-160801.jpg
 
Serikali ya Zimbabwe imepata dola milioni 85 kujenga barabara yake ya kwanza ya ubadilishanaji (Interchange Road), Mbudzi Interchange Road jijini Harare.​
Serikali ilitangaza mipango na usanifu uko katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza ndani ya muda mfupi.​

Viongozi wetu kaeni mkao mzuri muangalie namna wenzenu wanavyotengeneza vitu tangible vya kuishi miaka na miaka sio hivi vidaraja mlivyotujengea hapo jiji la joto.​
Sisi tumepigwa kutokana na ulimbukeni wetu.
 
Cha ajabu hizi interchange Uganda ni nyingi mno nadhani kutokana na jiografia ya miinuko na mabonde japo hii nchi ina uchumi wa kishkaji sana. So sio issue sana kikubwa ni kuondoa foleni za magari barabarani
 
Serikali ya Zimbabwe imepata dola milioni 85 kujenga barabara yake ya kwanza ya ubadilishanaji (Interchange Road), Mbudzi Interchange Road jijini Harare.​

Serikali ilitangaza mipango na usanifu uko katika hatua za mwisho na ujenzi utaanza ndani ya muda mfupi.​


Viongozi wetu kaeni mkao mzuri muangalie namna wenzenu wanavyotengeneza vitu tangible vya kuishi miaka na miaka sio hivi vidaraja mlivyotujengea hapo jiji la joto.​
Labda kwa sababu yule jamaa hayupo basi huenda tutapata vitu kama hivyo.
 
Nchi za kusini huko ukiondoa SA,Namibia na Botswana hakuna Nchi ambayo wanatufikia kwa ubora wa bara bara na maeneo mengi ya Nchi bara bara ipo Zimbabwe ya sasa sio ya kutufananisha na sisi...
 
Ya Ubungo mchoro ulikuwa mzuri zaidi ya huu... Kilichojengwa sasa.....


Mungu awasaidie wajenge kadiri ya mchoro
Hili watu wengi hawalioni wala kulisema yale madaraja kwakweli kitaalamu bado sio suluhisho ukija tena na yale matuta waliyoweka ndio sijui ujuzi wetu ndio umeishia hapo?
 
Back
Top Bottom