Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi! Wanajf....mimi ni mwanaume namiaka 26, nimeshangazwa sana na tabia ya mpenzi wangu wa sasa. Eti yeye anadai huwa hapendi kungonoana mchana afu usiku anataka tuzime taa....jamani naitaji msaada wa haraka wadau, maana raha ya sita kwa sita ni mwanga, kuujua mwili wa mpenzi wako na kuutomasa huku ukimwangalia direct machoni...plz help me..
Dah!..Athante kwa kweli.Mjengee confidence wewe.
Mwambie jinsi gani unapends ngozi yake, jinsi gani unapenda mwili wake, na jinsi gani vinakuhamasisha!
Mwisho wa siku atakuachia na believe anaweza hata akaja kukupa torch uwe unamchungulia kwenye kishimo chake!