mzanzibara-
Senior Member
- Feb 3, 2014
- 179
- 60
Wale vijana wa zamani, naomba mnisaidie wimbo 1 ulipigwa na vijana jazz kama sikosei au juwata,
yani kulikuwa na dada 1 alikuwa anaringia sana wanaume na kujifanya hataki kuolewa na wanyonge, yeye anataka wenye magari kama mtumba, ila hatimae alikuja akaolewa na mshona viatu, unaitwaje huu wimbo na uliimbwa na bend ganii
nitashukuru kwa msaada wenu
yani kulikuwa na dada 1 alikuwa anaringia sana wanaume na kujifanya hataki kuolewa na wanyonge, yeye anataka wenye magari kama mtumba, ila hatimae alikuja akaolewa na mshona viatu, unaitwaje huu wimbo na uliimbwa na bend ganii
nitashukuru kwa msaada wenu