MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Duh PM umenikumbusha mbali.......... enzi zile MJ1 natesa na afro na pekosi lol mtoto nawaka ka mbalamwezi watu hawanywi maji yakateremka ah........kweli ujana maji ya moto, yakipoa yamepoa loh..............