Huu huwa unanifariji ninapokataliwa sababu ya umaskini wangu.
mhh kawimbo katamu japo ndio kwanza nimekasikia,ahsante Mtakasika
Last edited by a moderator:
Huu huwa unanifariji ninapokataliwa sababu ya umaskini wangu.
usiogope bwana waalimu wa siku hz ni wapole sana hawaruhusiwi kuchapa kabisa so watoto wa siku hz wana mteremko sana kuliko enzi zile za kumwagilia viunga na kuwahi namba!
mhh kawimbo katamu japo ndio kwanza nimekasikia,ahsante Mtakasika
Nashukuru mama ngoja nikutafutie kawimbo kazuri usikilize siku ya leo.
utazidi kunifurahisha ukichanganya nimelala doro leo.
Sikiliza huu basi...
Haya mama naona huu utakufurahisha leo.....
usiogope bwana waalimu wa siku hz ni wapole sana hawaruhusiwi kuchapa kabisa so watoto wa siku hz wana mteremko sana kuliko enzi zile za kumwagilia viunga na kuwahi namba!
kuna mmoja sijui unaitwa mama Jemsi kitu kama hicho,unamzungumzia mume aliyefariki kwa ajali ntafutie mpendwa siku yangu iishe vizuri
hahahahah lol
umenikumbusha mbali sana dear..
asubuhi unatembea kama 1km shuleni
huku una guduria la maji little 5..
halafu una kuni..
kiatu umepiga kiwi kinaangaa na kutembea kote..
kucha safi ( espaciali J tano) lol ukaguzi..
shuleni mnaanza na mchaka mchaka ...
duuhh hizo nyimbo sasa
"Mbuga za wanyama Tanzania"
"ya kwanza ni Serengeti, Ngorongoro, Manyara na Mikumi"
"ooooohhhhh Tanzania ooooohhhh yyeeeeeeeee.."
sijui
"mchaka, mchaka chinja"
hahahahahaahaha lol
ilikuwa raha sana lakini lol
Huu naona haupatikani ila sitachoka kuutafuta na labda members wengine wanaweza kunisaidia
Unaanza kwa kusema
nashangaa,nilikuwa naye asubuhi tu,nikimtarishia chai awahi kazini,
na watoto wake jemsi,joni na bahati,aliwapa pesa za matumizi ya shuleni,
leo napata habari baba jemsi ameshafariki jamani,moyo waniuma na nguvu mwilini sina.
umeniacha kwenye usiku wa giza nene,na mvua kubwa ya mawe yenye radi zenye hasira..
we acha tu ile life ilikuwa ya ujamaa kwelikweli sio sasa!
Wajameni naomba mwenye huu wimbo'Barua kutoka kwa mama upo hivi ; Nisije kosa radhi ya baba, nisije kosa radhi ya mama etc.etc.eg.
......nilipopokea barua kutoka kwa mama akinipa malalamiko yakeeeeeeeeeeeeeee
kwamba yupo mbali na baba maaamaaa aha ahaa
kwa uchungu niliijibu barua ya mama
ya kwamba nitajaribu kuyasuluhusisha lakini mimi..............................
SHUKRANI MBELE
Wajameni naomba mwenye huu wimbo'Barua kutoka kwa mama upo hivi ; Nisije kosa radhi ya baba, nisije kosa radhi ya mama etc.etc.eg.
......nilipopokea barua kutoka kwa mama akinipa malalamiko yakeeeeeeeeeeeeeee
kwamba yupo mbali na baba maaamaaa aha ahaa
kwa uchungu niliijibu barua ya mama
ya kwamba nitajaribu kuyasuluhusisha lakini mimi..............................
SHUKRANI MBELE
Nashukuru mkuu BAK lakini sio huu aliomaanisha yeye alimaanisha ule ulioimbwa na Cosmas Chidumule,ila na wewe kamata huu kwa leo.