Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Ijumaa ya leo haiko sawa kwangu,lakini haijanizuia kujiuliza swali lifuatalo;
"
Lakini kabla ya kuuliza,nina ombi kwa MODS,wasiihamishe hii siredi kulee maana sina access huko na naweza kukosa jibu la swali ninalouliza.
"
Ni kuwa kwenye sehemu za mwili wa binadamu kwapani na kuleeee "downstears" huwa kuna "nywele"!
"
Kwanini zimewekwa huko?Jamani nisaidieni,nataka jibu la kisayansi kidogo.
"
Kuna dogo ameniuliza nikabaki speechless!Wengine shule zilitupita kando . . Lol!
"
Any answer please . . . . . . !!!!
"
Lakini kabla ya kuuliza,nina ombi kwa MODS,wasiihamishe hii siredi kulee maana sina access huko na naweza kukosa jibu la swali ninalouliza.
"
Ni kuwa kwenye sehemu za mwili wa binadamu kwapani na kuleeee "downstears" huwa kuna "nywele"!
"
Kwanini zimewekwa huko?Jamani nisaidieni,nataka jibu la kisayansi kidogo.
"
Kuna dogo ameniuliza nikabaki speechless!Wengine shule zilitupita kando . . Lol!
"
Any answer please . . . . . . !!!!