Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,247
- 26,141
Amani ya Bwana wetu mpendwa Yesu Kristo iwe nanyi.
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss
Leo naomba kuwauliza wale wapotoshaji na wazandiki fc! Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa sijui Bandari zote kapewa mwarabu zimeishia wapi?
Wale wengine WARAKA FC mbona hatusikii tena waraka wa upotoshaji na uongo ukisomwa kwenye vigango na parokia? Au leo wote hamjaenda kanisani?
Au ndo mmeshaelewa kuwa mkataba wa uwekezaji Bandarini ulikuwa unahusu Terminal 1 tu( Gati 0-4 na gati 5-7)? Ila yamewashuka mmeamua kukaa kimya kama sio nyie mliokuwa mnasema bandari zote zimeuzwa?
Au ndo ukweli umeshawafundisha adabu kuwa muache upotoshaji?
Natumai sasa mpo kwenye harakati ya kuomba tenda muwekeze bandarini Dsm gati No 8-11 maana mlikuwa mnapiga sana kelele kuwa mna uwezo wa kuwekeza kama wazawa na Serikali imeshatangaza tenda na iko wazi!
Nawasubiri na majibu yenu
Angalizo.
Sitaki matusi, nataka majibu!
Cc. FaizaFoxy The Boss