Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

Ziko wapi Chopa 12 Lowassa kampeni ya toroka uje?

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke


Hawa jamaa ni wezi sana hawana lolote. Wanainchi tumeshituka na harambe zao.
 
Walitaka kuwatia ccm,wakawakuta jamaa wapo ngangalii!!!
 
*walitaka kuwatia ccm kiwewe,wakakuta jamaa wapo ngangali
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Izo chopa zipo na zimesha anza kazi, kanda zetu zipo 5 na kila kanda ina chopa1 sema kingne
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke


Hakuna chopa zishapigwa
 
Akili za wana ccm bhana,mmeona cha muhimu kujadili hapa ni chopa za Ukawa?
 
CHOPA 12 LOWASA:
Ziko wapi chopa 12 ambazo wanaukawa walijinasibu kuwa zitakuwa zikizinguka kumkapenia Bw.Lowasa na ule mpango wao wa toraka uje?naona kimya na siku zinaenda!Ila lile la mchngo wa harambee liliwezekana fasta!Watanzania tushtuke

Wezi na mafisadi wanajishauri kwanza namna ya kuzitolea maelezo ya gharama zake.
 
Mgombea janja janja tu hahahahahaa pesa tulichanga haraka haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom