Zijue tofauti za mtu masikini na tajiri

Kinachoniuzigi ni masikini anamfundisha masikini mwenzake jinsi ya kuwa tajiri wakati huo

Matajiri wako kimya tu wanatuchora tu.

Matajiri wengi wanaroho ngumu Hata za kutoa kafala watoto na ndugu zao.
Hela ya tajiri uipati ng'o kizembe.... Mpaka uifanyie kazi.

Matajiri wanapiga deal kubwa, wakitusua tayari umasikini bay, mfano, kukwepa kodi, saini mikataba mibovu pata cammision yako ya maana, toza kodi kubwa kisha piga mzigo etc.


Umasikini wa masikini ni woga wake mwenyewe, kupenda haki, na kujifanya ana huruma kwa watu....

Unakuta mtu anapokea mshahara wa laki tano then anatunza ukoo mzima.


Utafanya kazi Mpaka uzeeke.....
 
Mbona mimi masikini ila sina sifa hizo hapo juu? Napambana kweli kweli nijikwamue kwenye umaskini na marafiki zangu wengi matajiri!

Wewe sio maskini umaskini huwa unaanzia kwenye roho. Na kwa jinsi ulivyoandika unaonekana una roho ya kitajiri so utafanikiwa
 
Kinachoniuzigi ni masikini anamfundisha masikini mwenzake jinsi ya kuwa tajiri wakati huo

Matajiri wako kimya tu wanatuchora tu.

Matajiri wengi wanaroho ngumu Hata za kutoa kafala watoto na ndugu zao.
Hela ya tajiri uipati ng'o kizembe.... Mpaka uifanyie kazi.

Matajiri wanapiga deal kubwa, wakitusua tayari umasikini bay, mfano, kukwepa kodi, saini mikataba mibovu pata cammision yako ya maana, toza kodi kubwa kisha piga mzigo etc.


Umasikini wa masikini ni woga wake mwenyewe, kupenda haki, na kujifanya ana huruma kwa watu....

Unakuta mtu anapokea mshahara wa laki tano then anatunza ukoo mzima.


Utafanya kazi Mpaka uzeeke.....
Hahahha eti matajiri wapo kimya tu wanatuchora!!!
 
Acha maneno mingi. Anaetaka kujua tofauti ya maskini na tajiri mwambie akae Vingunguti wiki moja na Masaki siku mbili. Tofauti ataijua tu
 
Acha maneno mingi. Anaetaka kujua tofauti ya maskini na tajiri mwambie akae Vingunguti wiki moja na Masaki siku mbili. Tofauti ataijua tu
Utofauti utaonekana tu, pengine aliyekaa vingunguti miaka mitano iliyopita leo hii anaishi masaki. Ni namna tu ya kila mtu anavyopambana na kuyachukulia maisha.
 
Suala la kuwa tajiri au masikini hutegemea
1. Ww mwenyewe
2. Serikali (Uongozi wa nchi kwa ujumla na sera zake kuhusu uchumi)
 
Siku izi kuna michezo ya kamari. Ambayo imekua kama ugonjwa kwa vijana wengi. Wao wanawaza kubet badala ya kufanya kazi wanadhani kufanikiwa ni kupita njia ya mkato.

ukweli ni kwamba hakuna mafanikio kama au fanyi chochote kitakachokuwezesha kupata kipato cha uhakika nasio kamari za kubahatisha.

mimi ni mfanyabiashara ivyo wakati mwingine uajiri wajakazi. Lakini utamshangaa kijana anachagua kazi. Tena yeye ndio anataka umlipe kiasi atakacho yeye ukizingatia hata elimu hana unabaki unamshangaatu.

pia vijana wengi niwavivu hata ukimwajiri hawajibiki ipasavyo. Kazi kuweka airphone masasikiona na kuchat. Sijui wataishi maisha gani.
 
Back
Top Bottom