Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

Mauaji yatazidi ktk familia...

Maana mama ndo anajua baba wa mtoto...

Na wanawake wanasiri...

Mungu tusamehe
Hakuna kitu kama hicho kwa 100%!

Mama anayejua mtoto ni wa nani labda ni mwanamke aliyepo kwenye ndoa kwa kutulia.

Tena awe anazielewa kalenda zake pasina shaka, pia awe ni "mzalendo" wa kitanda.

Mwanamke anayeweza kuchanganya mabwana zaidi ya mmoja ndani ya saa24 hadi 72 yupo katika hatari ya kutotambua baba halisi wa mimba husika.

Duration of stay ya sperms za mwanaume kwenye naniliu, wajua baiolojia inasema ni masaa mangapi?

Kwa hiyo kwa kiruka njia anayewapanga foleni wanaume, tusidanganyane kuweza kutambua mhusika!

Je wajua kuwa mapacha wasiofanana waweza kutungiwa mimba moja na baba wawili tofauti, kwa sababu gan?

Je mwanamke husika anachanganya wanaume anaweza kutambua hao baba wawili waliomtia mbimba ya mapacha wake?

Ndiyo nasema tusidanganyane, uhusika wa mimba wanawake huwa wanakisia tu ama kubambika!
 
Back
Top Bottom